figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Mbona kama umekurupushwa we jamaa? Hebu tulia ulete taarifa rasmi kwa utulivu sio huu uzi ulivyoandikaMunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Mussa Hassan Mussa Silima, Mbunge wa Amaniamefariki dunia
Wewe ndo umekurupushwa. Nilete taarifa rasmi kwani mimi ni Mamlaka? Hata hujui nani anatoa taarifa rasmi. Muone kwanzaMbona kama umekurupushwa we jamaa? Hebu tulia ulete taarifa rasmi kwa utulivu sio huu uzi ulivyoandika
Ungetujuza kwanza, huyo jamaa ni nani. Wabunge wengi tu wanafariki, whats so special?Wewe ndo umekurupushwa. Nilete taarifa rasmi kwani mimi ni Mamlaka? Hata hujui nani anatoa taarifa rasmi. Muone kwanza
Muone huyu naye, eti anataka aambiwe huyo mbunge ni nani... 🤣🤣🤣Ungetujuza kwanza , huyo jamaa ni nani.
Wabunge wengi tu wanafariki, whats so special?
RIP Mbunge Silima.
Atahukumiwa kama ni kweliHawa ndio waliiba uchaguzi 2020?
Anyway, poleni wafiwa
NilishtukaDah! Hilo jina linafanana kwa mbali na lile la Zungu eti.
[emoji1] [emoji1787] [emoji23]Dah! Hilo jina linafanana kwa mbali na lile la Zungu eti.
wafanyibiashara hawa, hawataki kuua mtaji, si unajua Mudi alikuwa mfanyabiashara! Unakufa saa tano, saa kumi unazikwa! Mkitoka makaburini mnakula Wali na maharage au chai na maandazi msiba umeisha leo leoMisiba ya hawa jamaa haina mambo mengi ingekuwa Sisi ni mwendo wa wiki mbili bado tunafanya maonesho tu