Pre GE2025 Mbunge Ndaisaba achangiwa fedha za Kuchukua fomu ya Ubunge na Wanawake 400 wa Kabanga, Ngara, Kagera

Pre GE2025 Mbunge Ndaisaba achangiwa fedha za Kuchukua fomu ya Ubunge na Wanawake 400 wa Kabanga, Ngara, Kagera

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301
Mbunge Ndaisaba Ruhoro achangiwa fedha za kuchukua fomu ya ubunge na wanawake zaidi ya 400 wa kabanga.

WhatsApp Image 2024-09-02 at 20.21.41.jpeg
Ngara; 02.09.2024

Wanawake zaidi ya 400 wa Mji mdogo wa Kabanga waliandaa Hafla ya kumpongeza Mbunge wa Jimbo la Ngara, Mhe. NDAISABA G RUHORO kwa kazi kubwa anayoifanya ya kuiwakilisha Ngara.

Hafla hiyo iliyofanyikia Kabanga kwenye ukumbi wa Free Park Hotel iliambatana na ukataji na ulaji wa Keki ambapo walaji walitoa TZS 500 kwaajili ya kumchangia Mhe. Ruhoro kuchukua fomu ya kugombea UBUNGE wa Jimbo la Ngara Mwaka 2025.

Mbali na kundi hili yapo makundi mengine ambayo yamepanga kumchangia fedha za kuchukua fomu ya UBUNGE Mhe. Ndaisaba George Ruhoro kwenye uchaguzi mkuu ifikapo mwaka 2025.

Soma Pia:

WhatsApp Image 2024-09-02 at 20.21.50.jpeg

RUHORO amewashukuru sana wananchi wote wa Jimbo la NGARA kwa Imani na mapenzi makubwa sana waliyonayo juu yake na anaendelea kuwaahidi kuwatumikia kwa viwango vya juu na kwa unyenyekevu mkubwa.

Wenu; Ernest RUHUGU
Katibu wa Mbunge
WhatsApp Image 2024-09-02 at 20.21.44.jpeg
 

Attachments

  • WhatsApp Image 2024-09-02 at 20.21.42.jpeg
    WhatsApp Image 2024-09-02 at 20.21.42.jpeg
    326.3 KB · Views: 5
  • WhatsApp Image 2024-09-02 at 20.21.45.jpeg
    WhatsApp Image 2024-09-02 at 20.21.45.jpeg
    355.2 KB · Views: 3
  • WhatsApp Image 2024-09-02 at 20.21.47.jpeg
    WhatsApp Image 2024-09-02 at 20.21.47.jpeg
    193 KB · Views: 4
  • WhatsApp Image 2024-09-02 at 20.21.51.jpeg
    WhatsApp Image 2024-09-02 at 20.21.51.jpeg
    311.6 KB · Views: 3
  • WhatsApp Image 2024-09-02 at 20.21.53.jpeg
    WhatsApp Image 2024-09-02 at 20.21.53.jpeg
    181.2 KB · Views: 6
Mbunge Ndaisaba Ruhoro achangiwa fedha za kuchukua fomu ya ubunge na wanawake zaidi ya 400 wa kabanga.

Ngara; 02.09.2024

Wanawake zaidi ya 400 wa Mji mdogo wa Kabanga waliandaa Hafla ya kumpongeza Mbunge wa Jimbo la Ngara, Mhe. NDAISABA G RUHORO kwa kazi kubwa anayoifanya ya kuiwakilisha Ngara.

Hafla hiyo iliyofanyikia Kabanga kwenye ukumbi wa Free Park Hotel iliambatana na ukataji na ulaji wa Keki ambapo walaji walitoa TZS 500 kwaajili ya kumchangia Mhe. Ruhoro kuchukua fomu ya kugombea UBUNGE wa Jimbo la Ngara Mwaka 2025.

Mbali na kundi hili yapo makundi mengine ambayo yamepanga kumchangia fedha za kuchukua fomu ya UBUNGE Mhe. Ndaisaba George Ruhoro kwenye uchaguzi mkuu ifikapo mwaka 2025.

Soma Pia: Mbunge Ndaisaba Ruhoro achangia Tsh. Milioni 8 kwa UVCCM Wilaya ya Ngara


RUHORO amewashukuru sana wananchi wote wa Jimbo la NGARA kwa Imani na mapenzi makubwa sana waliyonayo juu yake na anaendelea kuwaahidi kuwatumikia kwa viwango vya juu na kwa unyenyekevu mkubwa.

Wenu; Ernest RUHUGU
Katibu wa Mbunge
Mtu mrefu ameanza kuchomekea pesa za dhahabu ya congo.
 
Mbona wansochangisha pichani wanaonekana ni wanaume au nao wanawake waliovaa nguo za kiume ?
 
Ngara,hilo Jimbo CHADEMA tunalichukua.
 
Nilikuwa Ngara, ukitaka ujue Definition ya what is Porverty nenda kule ngara, mimi sishangai kwa yeye kuchangiwa. Umasikini ni mtaji
 
Kwa Mujibu wa Katiba ya CCM, ni kosa kutangaza nia kabla ya wakati

Angalieni asije kuondolewa Kwa hiyo Technicality na wenzake ndani ya Chama
 
Mbunge Ndaisaba Ruhoro achangiwa fedha za kuchukua fomu ya ubunge na wanawake zaidi ya 400 wa kabanga.

Ngara; 02.09.2024

Wanawake zaidi ya 400 wa Mji mdogo wa Kabanga waliandaa Hafla ya kumpongeza Mbunge wa Jimbo la Ngara, Mhe. NDAISABA G RUHORO kwa kazi kubwa anayoifanya ya kuiwakilisha Ngara.

Hafla hiyo iliyofanyikia Kabanga kwenye ukumbi wa Free Park Hotel iliambatana na ukataji na ulaji wa Keki ambapo walaji walitoa TZS 500 kwaajili ya kumchangia Mhe. Ruhoro kuchukua fomu ya kugombea UBUNGE wa Jimbo la Ngara Mwaka 2025.

Mbali na kundi hili yapo makundi mengine ambayo yamepanga kumchangia fedha za kuchukua fomu ya UBUNGE Mhe. Ndaisaba George Ruhoro kwenye uchaguzi mkuu ifikapo mwaka 2025.

Soma Pia:


RUHORO amewashukuru sana wananchi wote wa Jimbo la NGARA kwa Imani na mapenzi makubwa sana waliyonayo juu yake na anaendelea kuwaahidi kuwatumikia kwa viwango vya juu na kwa unyenyekevu mkubwa.

Wenu; Ernest RUHUGU
Katibu wa Mbunge
Umasikini unawafanya watu wakose kabisa akili na ndo mtaji wa Ccm
 
Sio bure huyo bwana itakuwa amepiga kazi kweli kweli, kundi kubwa hivyo la wanawake kukuunga mkono ni dalili za kukubalika. Labda kama amewapa hela gizani ili wamrudishie mbele ya kamera.
 
Nilikuwa Ngara, ukitaka ujue Definition ya what is Porverty nenda kule ngara, mimi sishangai kwa yeye kuchangiwa. Umasikini ni mtaji
Kuna relation between umaskini na poor IQ. Na si ngara tu, nenda kongwa, wilaya za dodoma ndani ndani, pita iringa ndani ndani hali bado ni mbaya
 
Back
Top Bottom