LGE2024 Mbunge Ndaisaba na Mbunge Semuguruka wafunga kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Kata ya Nyamiaga, Ngara

LGE2024 Mbunge Ndaisaba na Mbunge Semuguruka wafunga kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Kata ya Nyamiaga, Ngara

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301

WhatsApp Image 2024-11-26 at 13.56.43.jpeg

Mbunge wa Jimbo la Ngara, Mhe. Ndaisaba George Ruhoro, kwa kushirikiana na Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Kagera, Mhe. Oliver Daniel Semuguruka, wamehitimisha kampeni za wagombea nafasi za uongozi wa Serikali za Vijiji na Vitongoji katika Kata ya Nyamiaga, Wilaya ya Ngara.

Katika hotuba yake, Mhe. Ndaisaba Ruhoro aliwahimiza wananchi kufahamu umuhimu wa kushiriki kikamilifu katika uchaguzi huo, akibainisha kuwa maendeleo ya jamii yanategemea uongozi bora unaotokana na Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Amehimiza kuchagua viongozi makini wa CCM ambao watakuwa mstari wa mbele kusimamia maendeleo ya Nyamiaga.

WhatsApp Image 2024-11-26 at 13.56.35.jpeg

Aidha, Mhe. Ndaisaba George Ruhoro alisisitiza umuhimu wa kutunza kura, akiwataka wananchi kuhakikisha kura zao zote zinakwenda kwa wagombea wa CCM. "Tusikubali kuharibu hata kura moja, tunataka kijani na njano tupu," alisema, akisisitiza mshikamano na uzalendo kwa chama hicho.

Wananchi wa Nyamiaga wametakiwa kujitokeza kwa wingi siku ya uchaguzi ili kuhakikisha viongozi bora wanapatikana kwa ajili ya maendeleo endelevu ya kata hiyo.

PIA SOMA
- LIVE - LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

WhatsApp Image 2024-11-26 at 13.06.03.jpeg
WhatsApp Image 2024-11-26 at 13.06.02.jpeg

WhatsApp Image 2024-11-26 at 13.06.00.jpeg
WhatsApp Image 2024-11-26 at 13.05.59.jpeg

WhatsApp Image 2024-11-26 at 13.56.40.jpeg
 

Attachments

  • WhatsApp Image 2024-11-26 at 13.05.56.jpeg
    WhatsApp Image 2024-11-26 at 13.05.56.jpeg
    309.1 KB · Views: 4
  • WhatsApp Image 2024-11-26 at 13.05.57 (1).jpeg
    WhatsApp Image 2024-11-26 at 13.05.57 (1).jpeg
    669.8 KB · Views: 4
  • WhatsApp Image 2024-11-26 at 13.56.38.jpeg
    WhatsApp Image 2024-11-26 at 13.56.38.jpeg
    461.6 KB · Views: 4
  • WhatsApp Image 2024-11-26 at 13.56.41.jpeg
    WhatsApp Image 2024-11-26 at 13.56.41.jpeg
    71.7 KB · Views: 4

OLIVER SEMUGURUKA ASEMA LIWAKE JUA INYESHE MVUA, USHINDI WA CCM SERIKALI ZA MITAA NI LAZIMA

Mbunge wa Viti Maalum wa Mkoa wa Kagera, Mhe. Oliver Daniel Semuguruka, amewahimiza wananchi wa Kata ya Nyamiaga, Wilaya ya Ngara, kuhakikisha ushindi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) unapatikana katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji, na Vitongoji.

Akizungumza katika mkutano wa kampeni uliofanyika viwanja vya Mumiterama Center, Mhe. Oliver Semuguruka alibainisha kuwa ushindi wa CCM ni muhimu kwa maendeleo ya wananchi. Alisisitiza kuwa, "Hali yoyote iwe Jua linawaka au Mvua inanyesha, tunapaswa kuhakikisha ushindi wa CCM unapatikana"

Mhe. Oliver Semuguruka aliwanadi wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi wa Serikali za Mitaa, huku akiwaomba wananchi kujitokeza kwa wingi siku ya uchaguzi tarehe 27 Novemba 2024. Alieleza kuwa viongozi wa CCM watahakikisha wanawaletea maendeleo na kuboresha huduma za kijamii katika maeneo yao.

Aidha, Mbunge Oliver Semuguruka alimtangaza mgombea wa nafasi ya Uenyekiti wa Kijiji, Bi. Metilda, akielezea uwezo wake wa uongozi na kuwahamasisha wananchi kumpigia kura. Alisema, "Wanawake tunaweza kuleta mabadiliko makubwa bila hata kuwezeshwa. Hivyo, tupeni kura zenu za 'Ndiyo' kwa Bi. Metilda."

Mhe. Semuguruka aliwataka wananchi kuhakikisha wanajitokeza kwa wingi katika uchaguzi huo, ili kuimarisha msingi wa maendeleo unaoongozwa na CCM.
 

Attachments

  • WhatsApp Image 2024-11-26 at 14.12.40.jpeg
    WhatsApp Image 2024-11-26 at 14.12.40.jpeg
    144 KB · Views: 4
  • WhatsApp Image 2024-11-26 at 13.06.00.jpeg
    WhatsApp Image 2024-11-26 at 13.06.00.jpeg
    418.4 KB · Views: 4
  • WhatsApp Image 2024-11-26 at 13.05.59.jpeg
    WhatsApp Image 2024-11-26 at 13.05.59.jpeg
    654.8 KB · Views: 4
  • WhatsApp Image 2024-11-27 at 01.06.45.jpeg
    WhatsApp Image 2024-11-27 at 01.06.45.jpeg
    58.5 KB · Views: 7
  • WhatsApp Image 2024-11-26 at 13.56.38.jpeg
    WhatsApp Image 2024-11-26 at 13.56.38.jpeg
    461.6 KB · Views: 4
  • WhatsApp Image 2024-11-26 at 13.05.57.jpeg
    WhatsApp Image 2024-11-26 at 13.05.57.jpeg
    527.8 KB · Views: 4
Ninapajua sana ngara, situation si poa bado japokuwa serikali inajitahidi kupeleka maji vijijini. Landscape si rafiki. Lakini nyie CCM, acheni tabia ya kupiga magoti kuonyesha onyenyekevu fake. Tulishatoka kwenye ujima wa kujifanya wanyenyekevu. Raia wanahitaji maendeleo. Kupiga magoti pia ni ishara ya nyie kutokubarika na raia. Mkifanya kazi vyema, ndiyo itawabeba.
 
Huyu mama naye, mfyuuuu! zaidi ya sifa ya kochi alilonalo, sioni anachofanya bungeni wala jimboni, ni kama yuko kwenye show/display ya bidhaa yake, walau Neema Lugangira kafanya mengi, na ana moyo sana kutumikia wananchi
 

Mbunge wa Jimbo la Ngara, Mhe. Ndaisaba George Ruhoro, kwa kushirikiana na Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Kagera, Mhe. Oliver Daniel Semuguruka, wamehitimisha kampeni za wagombea nafasi za uongozi wa Serikali za Vijiji na Vitongoji katika Kata ya Nyamiaga, Wilaya ya Ngara.

Katika hotuba yake, Mhe. Ndaisaba Ruhoro aliwahimiza wananchi kufahamu umuhimu wa kushiriki kikamilifu katika uchaguzi huo, akibainisha kuwa maendeleo ya jamii yanategemea uongozi bora unaotokana na Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Amehimiza kuchagua viongozi makini wa CCM ambao watakuwa mstari wa mbele kusimamia maendeleo ya Nyamiaga.


Aidha, Mhe. Ndaisaba George Ruhoro alisisitiza umuhimu wa kutunza kura, akiwataka wananchi kuhakikisha kura zao zote zinakwenda kwa wagombea wa CCM. "Tusikubali kuharibu hata kura moja, tunataka kijani na njano tupu," alisema, akisisitiza mshikamano na uzalendo kwa chama hicho.

Wananchi wa Nyamiaga wametakiwa kujitokeza kwa wingi siku ya uchaguzi ili kuhakikisha viongozi bora wanapatikana kwa ajili ya maendeleo endelevu ya kata hiyo.

Majina kama ya nchi jirani.
 
Imekuwaje wanya rwanda wakawa wabunge ndani ya 🇹🇿 Tanzania
 
Imekuwaje wanya rwanda wakawa wabunge ndani ya 🇹🇿 Tanzania
Huyu ni Mnyarwanda maadili ziro kabisa. haaminiki, pale Kasulu alimkimbia Cossam Nyamtera Mme wake wa ndoa kaenda Dar kufunga ndoa na Jamaa mwingine tena
 

Mbunge wa Jimbo la Ngara, Mhe. Ndaisaba George Ruhoro, kwa kushirikiana na Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Kagera, Mhe. Oliver Daniel Semuguruka, wamehitimisha kampeni za wagombea nafasi za uongozi wa Serikali za Vijiji na Vitongoji katika Kata ya Nyamiaga, Wilaya ya Ngara.

Katika hotuba yake, Mhe. Ndaisaba Ruhoro aliwahimiza wananchi kufahamu umuhimu wa kushiriki kikamilifu katika uchaguzi huo, akibainisha kuwa maendeleo ya jamii yanategemea uongozi bora unaotokana na Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Amehimiza kuchagua viongozi makini wa CCM ambao watakuwa mstari wa mbele kusimamia maendeleo ya Nyamiaga.


Aidha, Mhe. Ndaisaba George Ruhoro alisisitiza umuhimu wa kutunza kura, akiwataka wananchi kuhakikisha kura zao zote zinakwenda kwa wagombea wa CCM. "Tusikubali kuharibu hata kura moja, tunataka kijani na njano tupu," alisema, akisisitiza mshikamano na uzalendo kwa chama hicho.

Wananchi wa Nyamiaga wametakiwa kujitokeza kwa wingi siku ya uchaguzi ili kuhakikisha viongozi bora wanapatikana kwa ajili ya maendeleo endelevu ya kata hiyo.

PIA SOMA
- LIVE - LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Hapo hakuna mtanzania hata mmoja.
Ccm majanga matupu.
 
Huyu mama naye, mfyuuuu! zaidi ya sifa ya kochi alilonalo, sioni anachofanya bungeni wala jimboni, ni kama yuko kwenye show/display ya bidhaa yake, walau Neema Lugangira kafanya mengi, na ana moyo sana kutumikia wananchi
Acha hizo wewe, nani hapendi msambwanda nchi hii? Kuhonga ni lazima hata joyce mukya alihongwa ubunge viti maalum na mwamba.
 
Back
Top Bottom