Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 2,833
- 1,301
Mhe. Ndaisaba George Ruhoro, Mbunge wa Jimbo la Ngara Mkoa wa Kagera ameshiriki Baraza la Kikanuni la Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) la Wilaya ya Ngara Mkoa wa Kagera.
Mhe. Ndaisaba George Ruhoro Ametoa Shilingi Milioni 5 (5,000,000) kwaajili ya Kununua Simu za Usajili wa Kielektroniki kwa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Kata 22 na Milioni Tatu (3,000,000) mchango wa Ujenzi wa Nyumba ya Mtumishi.
Vilevile, Mhe. Ndaisaba George Ruhoro amezindua Tawi la Wakereketwa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kata ya Ngara Mjini ambapo amesisitiza vijana kuendelea kukijenga Chama Cha Mapinduzi na Jumuiya zake (Wazazi, UVCCM na UWT).
Mhe. Ndaisaba George Ruhoro Ametoa Shilingi Milioni 5 (5,000,000) kwaajili ya Kununua Simu za Usajili wa Kielektroniki kwa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Kata 22 na Milioni Tatu (3,000,000) mchango wa Ujenzi wa Nyumba ya Mtumishi.
Vilevile, Mhe. Ndaisaba George Ruhoro amezindua Tawi la Wakereketwa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kata ya Ngara Mjini ambapo amesisitiza vijana kuendelea kukijenga Chama Cha Mapinduzi na Jumuiya zake (Wazazi, UVCCM na UWT).