Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 2,833
- 1,301
"Je, Serikali ina mpango gani wa kurekebisha kanuni ya Kikokotoo ili kuongeza kiwango cha mafao ya mkupuo kwa wastaafu? - Mhe. Ndaisaba George Ruhoro, Mbunge wa Jimbo la Ngara
"Serikali ina mpango gani wa kuhakikisha kwamba inalipa madeni ya Mifuko ya hifadhi ya jamii ili kuiongezea ukwasi Mifuko hiyo ili iendelee kuwanufaisha wanachama wake?
PIA SOMA
- Mbunge Ndaisaba Ruhoro Alilia Serikali Bei ya Mahindi
- Mbunge Ndaisaba Ruhoro: Mfanyabiashara wa Soko la Sukari Anauza Kilo Moja kwa Tsh.10,000. Hatuwezi Kukubali Wananchi Wetu Kuteseka