Mbunge Ndaisaba Ruhoro awapigania wastaafu Bungeni Jijini Dodoma

Mbunge Ndaisaba Ruhoro awapigania wastaafu Bungeni Jijini Dodoma

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301



Kutokana na kikao cha Wazee wa wastaafu na Mh Ruhoro kilichofanyika hivi karibuni nyumbani kwake Buhororo ambapo watumishi wastaafu walimtuma mbunge wao kuwapigania, Leo Mbunge wa Jimbo la Ngara ameiomba serikali kuboresha kiwango cha Pensheni ya wastaafu.

Ameiomba Serikali kuangalia uwezekano wa kufanya kima cha chini cha Mushahara kuwa kima cha Chini cha Pensheni inayolipwa kila mwezi. Hii ni kwa sababu kuna wastaafu wanalipwa pensheni kiduchu chini ya laki moja na nusu hivyo kushindwa kumudu Gharama za Maisha.

Mh Ruhoro anaendelea kubeba agenda za watumishi wote wa Ngara wakiwemo wanaoendelea na kazi na wale waliokwisha sitafu serikalini kuhakikisha wanapata fedha ma malipo yanayokidhi mahitaji ya kila siku kwa watumishi.

Vile vile ameiomba Serikali kuangalia uwezekano wa kufanya mapitio ya hitaji la ongezeko la pensheni kila mwaka baadala ya utaratibu wa Sasa wa kila baada ya Miaka mitatu hali ambayo inawaumiza wastaafu kwa kusubilia zaidi ya miaka mitatu ya serikali kufanya mapitio wakati wakiendelea kuapata malipo kidogo.

Mbunge RUHORO amekuwa kinara wa kuwapigania watumishi wilayani ngara na matunda yanaonekana hasa kwenye ongezeko la Madaraja, Kuikataa Bodi ya Kitaaluma ya Walimu, kuunda Umoja wa Wazee wastaafu Ngara, kuwagawia mitungi ya Gesi kila shule na mengine mengi

Soma Pia: Mbunge Ndaisaba Ruhoro Aililia Serikali Sakata la Kikokotoo

Mimi nasema ASANTE RUHORO kwa kuwapigania wazee wetu waliotumikia Taifa kwa ustadi mkubwa.

Wazee na watumishi wote wameshuhudia utumishi wako kwao na namna unavyojitoa kwa ajili yao.

Wenu
Ernest Ruhugu
Katibu wa Mbunge
 
Hivi ile issue ya kikotoo iliishia wapi......
 

RUHORO AWAPIGANIA WASTAAFU

30 OKTOBA, 2024 - BUNGENI-DODOMA.

Kutokana na kikao cha Wazee wa wastaafu na Mh Ruhoro kilichofanyika hivi karibuni nyumbani kwake Buhororo ambapo watumishi wastaafu walimtuma mbunge wao kuwapigania, Leo Mbunge wa Jimbo la Ngara ameiomba serikali kuboresha kiwango cha Pensheni ya wastaafu.

Ameiomba Serikali kuangalia uwezekano wa kufanya kima cha chini cha Mushahara kuwa kima cha Chini cha Pensheni inayolipwa kila mwezi. Hii ni kwa sababu kuna wastaafu wanalipwa pensheni kiduchu chini ya laki moja na nusu hivyo kushindwa kumudu Gharama za Maisha.

Mh Ruhoro anaendelea kubeba agenda za watumishi wote wa Ngara wakiwemo wanaoendelea na kazi na wale waliokwisha sitafu serikalini kuhakikisha wanapata fedha ma malipo yanayokidhi mahitaji ya kila siku kwa watumishi.

Vile vile ameiomba Serikali kuangalia uwezekano wa kufanya mapitio ya hitaji la ongezeko la pensheni kila mwaka baadala ya utaratibu wa Sasa wa kila baada ya Miaka mitatu hali ambayo inawaumiza wastaafu kwa kusubilia zaidi ya miaka mitatu ya serikali kufanya mapitio wakati wakiendelea kuapata malipo kidogo.

Mbunge RUHORO amekuwa kinara wa kuwapigania watumishi wilayani ngara na matunda yanaonekana hasa kwenye ongezeko la Madaraja, Kuikataa Bodi ya Kitaaluma ya Walimu, kuunda Umoja wa Wazee wastaafu Ngara, kuwagawia mitungi ya Gesi kila shule na mengine mengi.

Mimi nasema ASANTE RUHORO kwa kuwapigania wazee wetu waliotumikia Taifa kwa ustadi mkubwa.

Wazee na watumishi wote wameshuhudia utumishi wako kwao na namna unavyojitoa kwa ajili yao.

Wenu
Ernest Ruhugu
Katibu wa Mbunge
Mwambie pia awapiganie wale watumishi waliokumbwa na kikokotoo walipwe mapunjo yao vinginevyo wanasema watapiga kampeni kuiondoa ccm madarakani ili kupisha wengine walio na uchungu nao
 
Hu

Kutokana na kikao cha Wazee wa wastaafu na Mh Ruhoro kilichofanyika hivi karibuni nyumbani kwake Buhororo ambapo watumishi wastaafu walimtuma mbunge wao kuwapigania, Leo Mbunge wa Jimbo la Ngara ameiomba serikali kuboresha kiwango cha Pensheni ya wastaafu.

Ameiomba Serikali kuangalia uwezekano wa kufanya kima cha chini cha Mushahara kuwa kima cha Chini cha Pensheni inayolipwa kila mwezi. Hii ni kwa sababu kuna wastaafu wanalipwa pensheni kiduchu chini ya laki moja na nusu hivyo kushindwa kumudu Gharama za Maisha.

Mh Ruhoro anaendelea kubeba agenda za watumishi wote wa Ngara wakiwemo wanaoendelea na kazi na wale waliokwisha sitafu serikalini kuhakikisha wanapata fedha ma malipo yanayokidhi mahitaji ya kila siku kwa watumishi.

Vile vile ameiomba Serikali kuangalia uwezekano wa kufanya mapitio ya hitaji la ongezeko la pensheni kila mwaka baadala ya utaratibu wa Sasa wa kila baada ya Miaka mitatu hali ambayo inawaumiza wastaafu kwa kusubilia zaidi ya miaka mitatu ya serikali kufanya mapitio wakati wakiendelea kuapata malipo kidogo.

Mbunge RUHORO amekuwa kinara wa kuwapigania watumishi wilayani ngara na matunda yanaonekana hasa kwenye ongezeko la Madaraja, Kuikataa Bodi ya Kitaaluma ya Walimu, kuunda Umoja wa Wazee wastaafu Ngara, kuwagawia mitungi ya Gesi kila shule na mengine mengi

Soma Pia: Mbunge Ndaisaba Ruhoro Aililia Serikali Sakata la Kikokotoo

Mimi nasema ASANTE RUHORO kwa kuwapigania wazee wetu waliotumikia Taifa kwa ustadi mkubwa.

Wazee na watumishi wote wameshuhudia utumishi wako kwao na namna unavyojitoa kwa ajili yao.

Wenu
Ernest Ruhugu
Katibu wa Mbunge
Huyu ndiye Mbunge anayefaa, maana hata sisi wastaafu huku Nzega tunasota kwa hoja hiyo , ila wabunge wetu Wala hawana hata robo tu ya wazo la kutusikiliza !
 
Lakini pamoja na jitihada za Ruhoro kufuatilia haki za wastaafu ni kweli haoni upotofu wa majibu mepesi ya Katambi? Mara ya mwisho kima cha chini cha pensheni kiliboreshwa 2015 enzi za Rais Kikwete!! Sasa hayo mapitio ya miaka mitatu (3) ya Katambi yataisha na kutoa matokeo lini? Kwa umri wake Katambi hafai kupewa Wizara ya kuangazia haki za wazee - he is just too young for the post to appreciate what pensioners go through in this country.
 
Back
Top Bottom