Mbunge Ngassa Afanya Ziara Hospitali ya Wilaya Igunga

Mbunge Ngassa Afanya Ziara Hospitali ya Wilaya Igunga

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301

MBUNGE NGASSA AFANYA ZIARA HOSPITALI YA WILAYA IGUNGA

1. Awaasa Wauguzi kuzingatia misingi ya taaluma (professionalism) na kanuni za maadili ya kazi kuhudumia wagonjwa.

2. Akemea lugha za mauzi na kebehi kwa wagonjwa.

3. Akagua ujenzi wa majengo mapya ya thamani ya Shilingi Milioni Mia Tisa (Tshs . 900,000,000/=) yanayojengwa Hospitali ya Wilaya ya Igunga

4. Wagonjwa watoa hisia zao kwa Mbunge kwa kufuatilia ubora wa huduma za afya

5. Wampongeza Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kutoa Fedha za Maendeleo Jimbo la Igunga

Imetolewa na:
Ofisi ya Mbunge
Jimbo la Igunga
 

Attachments

  • WhatsApp Image 2024-04-18 at 09.10.05.jpeg
    WhatsApp Image 2024-04-18 at 09.10.05.jpeg
    89 KB · Views: 5
  • WhatsApp Image 2024-04-18 at 09.10.06.jpeg
    WhatsApp Image 2024-04-18 at 09.10.06.jpeg
    91.1 KB · Views: 5
  • WhatsApp Image 2024-04-18 at 09.10.06(1).jpeg
    WhatsApp Image 2024-04-18 at 09.10.06(1).jpeg
    127.4 KB · Views: 6
  • WhatsApp Image 2024-04-18 at 09.10.06(2).jpeg
    WhatsApp Image 2024-04-18 at 09.10.06(2).jpeg
    75.7 KB · Views: 5
  • WhatsApp Image 2024-04-18 at 09.10.07.jpeg
    WhatsApp Image 2024-04-18 at 09.10.07.jpeg
    72.8 KB · Views: 5
  • WhatsApp Image 2024-04-18 at 09.10.08.jpeg
    WhatsApp Image 2024-04-18 at 09.10.08.jpeg
    72.6 KB · Views: 5
Back
Top Bottom