Mbunge Ngassa; Barabara ni Mishipa ya Damu ya Uchumi wa Taifa

Mbunge Ngassa; Barabara ni Mishipa ya Damu ya Uchumi wa Taifa

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301
Mbunge wa Jimbo la Igunga Mhe Nicholaus George Ngassa ameshiriki Kikao cha Bodi ya Barabara Mkoa wa Tabora kilichofanyika Leo tarehe 20 Aprili, 2024 kwenye Ukumbi wa Isike Mwanakiyungi Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Tabora.​

Mhe Ngassa (MB) amechangia mambo mbalimbali ikiwemo;

1. Barabara ya Nanga - Mwabalaturu - Itunduru - Kagongwa
2. Barabara ya Igurubi - Mwagala - Mbutu
3. Barabara ya Mbutu - Isakamaliwa - Shinyanga Mpakani
4. Barabara ya Igunga - Mwanzugi - Lugubu - Itumba
5. Lami kuunganisha Igunga Mjini na Mbutu darajani
6. Madaraja ya Mwandali (Mwanzugi), Isugilo (Igunga Mjini), Chagana (Lugubu) na Mwazizi (Bukoko)
Miradi yote ipo kwenye hatua za utekekelezaji, Mhe Ngassa (MB) ameomba michakato ya kupata wakandarasi iharakishwe ili kutatua Changamoto za Barabara.

#NASIMAMANASAMIA
#KAZINAMAENDELEO

WhatsApp Image 2024-04-20 at 16.53.28.jpeg
WhatsApp Image 2024-04-20 at 16.53.28(1).jpeg
WhatsApp Image 2024-04-20 at 16.53.29.jpeg
WhatsApp Image 2024-04-20 at 16.53.30.jpeg
WhatsApp Image 2024-04-20 at 16.53.30(1).jpeg
 
Back
Top Bottom