Mbunge Nyalandu ndoa na Faraja Kota

Status
Not open for further replies.
mkuu hii post tulishaiona longtime!mm nilidhan kuna mpya!kumbe porojo
 
inauma sana ,Jf mekuwa sehemu ya kudiscuss mambo ya udaku kuhusu kina nyalandu wakati wananchi wanapata shida huko kamnyonge na nyamgusu??
unajua Bunge limechangia sh. ngapi kukamilisha sherehe hiyo???
JF credibility inaaznza kupungua

Kila msosi una side sauce.
mbaya hapa ni pale mtu anafunga tairi za trekta kwenye mark II AU tairi za mark II kwenye trekta. hapa naona mtu kaweka tairi na rim za sport kwenye gari yake.
 
kama uliotea vile,duh midomo uumba hii,jamaa anapiga friends wa wife JK halafu kawafanya marafiki.na ni muda since binti anasoma arusha
Naona tapeli Nyalandu ameamua kuhalarisha ndoa yake na Faraja!! Hongera sana na kwa heri kambi ya makapera.Wasi wasi wangu wataweza dumu? maana Lazaro ni kiazi sana na Faraja is a smart lady....kazi ipo!!
 
Watu mnalalamika eti hii ni ya zamani kwani hamuoni tarehe ya hii topic mtu alipoirusha?

Acheni kuongea pumba, laleni nyuma eti mnataka muone topic mpya pumba
 

MM umenichekesha hadi mbavu zinaniuma!!
 

Alalaalalalalalalalalalala! Mkjj,
Uzee wote huo na li-status lote hilo la "academic desert", kumbe mambo yote nyumbani Holaaa! Pole sana. Ingekuwa ni wa kuazimana, mimi ninao wawili ningeweza kukuazima mmoja!
 
lazaro impresses me as a she-goat.........................what do you think........................anavyoongea I'm left yawning for answers............
 
mbona nasikia wanaishi wote na wana watoto? hii itakuwa ndoa au kurudi kundini mwa Bwana. Karibu sana mheshimiwa ndoa zenye baraka ya Kanisa zina heshima na hadhi yake. Mungu awajalie mfikie azma yenu.
 
mkuu hii post tulishaiona longtime!mm nilidhan kuna mpya!kumbe porojo

haya ni matokeo ya maisha ya rais kikwete yanafanya watu wakimbie na kuchana passport zao wanapokujaambiwa kuna web inahusumambo ya nyumban awaangalii wanaingia kama zilivyo sio kosa lake ni kosa la matatizo ya kiwete na familia yake kutuweka gizan,mafuta kupanda bei na zaidi kuuchukua ufahamu wa watanzania hata akuna mtanzania anaepigakele
 
KUMBEEEEEEE!Hebu nichek kwenye hansad kama alimshukuru wakati wa makadirio ya hotuba ya wizara yake... hold on I will be back here shortly
 

You guessed well ma broda..
love n'peace!
 
Didn't realize it is an old Uzi!
 
kudiscus isue za wa2 c vzuri kwel pia napo kunaboa kla 2ym kuzungumzia matatzo 2 je furaha itakuwa wap
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…