Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 2,833
- 1,301
Mbunge wa Viti Maalum anayewakilisha Wanawake Mkoa wa Kagera, Mhe. Oliver Semuguruka maarufu "Twiga" amewataka wazazi kuwa karibu na watoto wao na kuwalea katika maadili ya Kitanzania ili wawe raia wema.
Mhe. Oliver Semuguruka Ameyasema hayo wakati akihitimisha ziara yake mkoani Kagera ambapo alizunguka wilaya zote za Mkoa huo kuzungumza na wananchi.
"Namshukuru Mungu tarehe 23 Julai, 2024 nimehitimisha ziara yangu Mkoa mzima wa Kagera wenye Wilaya 8 na Majimbo 9, nikiwa na afya ya kutosha. Nawashukuru kwa ushirikiano mlionipa" - Mhe. @oliver_semuguruka
Mhe. Oliver Semuguruka Ameyasema hayo wakati akihitimisha ziara yake mkoani Kagera ambapo alizunguka wilaya zote za Mkoa huo kuzungumza na wananchi.
"Namshukuru Mungu tarehe 23 Julai, 2024 nimehitimisha ziara yangu Mkoa mzima wa Kagera wenye Wilaya 8 na Majimbo 9, nikiwa na afya ya kutosha. Nawashukuru kwa ushirikiano mlionipa" - Mhe. @oliver_semuguruka