LGE2024 Mbunge Samizi agawa mitungi ya gesi 200 kwa Mama na Baba lishe 200 Muhambwe, ahamasisha ushiriki uchaguzi wa serikali za mitaa

LGE2024 Mbunge Samizi agawa mitungi ya gesi 200 kwa Mama na Baba lishe 200 Muhambwe, ahamasisha ushiriki uchaguzi wa serikali za mitaa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

BWANKU M BWANKU

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2019
Posts
377
Reaction score
435
Atumia fursa hiyo kuhamasisha wananchi kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Novemba 27 mwaka huu

IMG-20241001-WA0015.jpg

Katika harakati za kumuunga mkono Rais Samia Suluhu Hassan anayepambana kupunguza uchafuzi wa mazingira na kuenenda na Mpango wa Taifa wa utunzaji wa mazingira kwa kutumia Nishati Safi ya Kupikia, Mbunge wa Jimbo la Muhambwe mkoani Kigoma Mhe. Dkt. Florence George Samizi ameweza kugawa takribani mitungi 200 kwa Mama na Baba lishe.

IMG-20241001-WA0025.jpg

Hii ni sehemu ya uungwaji mkono wa kampeni ya Taifa chini Rais Samia Suluhu Hassan ambapo zipo faida chanya nyingi za utumiaji wa Nishati Safi ya Kupikia ukilinganisha na utumiaji wa kuni na mkaa.

IMG-20241001-WA0037.jpg

Utumiaji wa Nishati Safi ya Kupikia kama gesi hupunguza uzalishaji wa Gesi ya ukaa ambayo ni mbaya kiafya, kuokoa misitu, kulinda afya kwani majiko yanayotumia nishati safi hupunguza moshi hatari unaotokana na kuni au mkaa, ambao huathiri afya ya binadamu, hususan magonjwa ya kupumua.

Soma Pia:
~ Bashungwa Agawa Mitungi ya Gesi 300 kwa Wanawake na Wenye Mahitaji Maalum
~ Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025


IMG-20241001-WA0011.jpg
 
Nimesoma kichwa cha habari MITUNGI. Nikaja haraka kumbe mitungi ya gesi. Haya hongereni mlopata. Japo mngepewa na MITUNGI ndo ingependeza zaidi!
 
Rushwa ya uchaguzi
Hapana!!!ila mitungi ni"fixed cost"inanunuliwa mara Moja tu.sasa hiyo gas ni "variable cost"gharama hii inategemea na mtumiaji na matumizi yake..Sasa hivi ule mitungi mdogo unajazwa gas kwa Shs 25,000/=,Kwa hiyo anayetumia mitungi mmoja kwa mwezi atalipa Tshs 25000x12=300,000/=,kwa mwaka,anayetumia. mitungi 2 atalipa Tshs 600,000/= kwa mwaka naanayetumia mitungi 4 atalipa 1,200,000/= kwa mwaka Bado gharama ni kikwazo.
 
Atumia fursa hiyo kuhamasisha wananchi kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Novemba 27 mwaka huu


Katika harakati za kumuunga mkono Rais Samia Suluhu Hassan anayepambana kupunguza uchafuzi wa mazingira na kuenenda na Mpango wa Taifa wa utunzaji wa mazingira kwa kutumia Nishati Safi ya Kupikia, Mbunge wa Jimbo la Muhambwe mkoani Kigoma Mhe. Dkt. Florence George Samizi ameweza kugawa takribani mitungi 200 kwa Mama na Baba lishe.


Hii ni sehemu ya uungwaji mkono wa kampeni ya Taifa chini Rais Samia Suluhu Hassan ambapo zipo faida chanya nyingi za utumiaji wa Nishati Safi ya Kupikia ukilinganisha na utumiaji wa kuni na mkaa.


Utumiaji wa Nishati Safi ya Kupikia kama gesi hupunguza uzalishaji wa Gesi ya ukaa ambayo ni mbaya kiafya, kuokoa misitu, kulinda afya kwani majiko yanayotumia nishati safi hupunguza moshi hatari unaotokana na kuni au mkaa, ambao huathiri afya ya binadamu, hususan magonjwa ya kupumua.

Soma Pia:
~ Bashungwa Agawa Mitungi ya Gesi 300 kwa Wanawake na Wenye Mahitaji Maalum
~ Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025


Hii ingalikuwa mika 3 nyuma ingekuwa vyema sana kwa sasa ?!...........
 
Back
Top Bottom