Pre GE2025 Mbunge Samizi atembelea Gereza la Nyamisivyi Kibondo kuwaona wafungwa, atoa msaada wa sabuni na mifuko 100 ya simenti

Pre GE2025 Mbunge Samizi atembelea Gereza la Nyamisivyi Kibondo kuwaona wafungwa, atoa msaada wa sabuni na mifuko 100 ya simenti

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

BWANKU M BWANKU

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2019
Posts
377
Reaction score
435
🗓️ 3 AUGUST 2024 🗒️


IMG-20240804-WA0069.jpg

Dkt. Florence George Samizi, Mbunge wa Jimbo la Muhambwe Jana ametembelea GEREZA LA NYAMISIVYI {W} Kibondo, lengo ikiwa ni kuwaona wafungwa na kuwapa sabuni kwa ajili ya mahitaji yao pamoja na kukabidhi Simenti mifuko 100 alizoahidi ikiwa ni moja ya kuunga mkono juhudi za Rais Samia Saluhu Hassan, ambaye amekuwa akiwapa ushirikiano wa hali na Mali kuhakikisha Jeshi la MAGEREZA linakuwa na mazingira mazuri na kuimarisha mazingira ya wafungwa kwa ujumla.

Pia soma: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

SP.JOHN BOSCO MAX NGEMA-kaimu Mkuu wa GEREZA KIBONDO, amemshukuru sana Mbunge kwa namna ya pekee ambavyo ameguswa kuwasaidia kuwapa Sabuni wafungwa pamoja na kutoa mifuko 100 ya Simenti kwa ajili ya kuboresha miundombinu chakavu katika GEREZA hilo,licha ya kumtaka Mh. Mbunge kurudi na kuishawishi serikali kuendelea kuboresha miundombinu kwa ajili ya Usalama nk.


IMETOLEWA Na;
OFISI YA MBUNGE
JIMBO LA MUHAMBWE

CHINI YA UAKIRISHI

WA
MWANAMKE IMARA TAIFA IMARA TWENDE NA MAMA 2025-2030


IMG-20240804-WA0067.jpg
IMG-20240804-WA0065.jpg
 
Ameanza kujenga mazingira rafiki ili baada ya uchaguzi 2025 atapofungwa kwa uhujumu uchumi na wizi wa mali za umma asiende kuishi sehemu mbaya.
 
Baada ya sheria uchaguzi kurekebishwa na kuruhusu baadhi ya wafungwa kupiga kura.
 
Sema ametoa Takrima ya kujitangaza na sio msaada.
Wewe unawezaje kwenda kutoa msaada wa Saruji kwenye gereza?
Unawasaidia wafungwa au unaisaidia serikali ili gereza liwe imara zaidi.
 
🗓️ 3 AUGUST 2024 🗒️


View attachment 3061306

Dkt. Florence George Samizi,
Mbunge wa Jimbo la Muhambwe Jana ametembelea GEREZA LA NYAMISIVYI {W} Kibondo, lengo ikiwa ni kuwaona wafungwa na kuwapa sabuni kwa ajili ya mahitaji yao pamoja na kukabidhi Simenti mifuko 100 alizoahidi ikiwa ni moja ya kuunga mkono juhudi za Rais Samia Saluhu Hassan, ambaye amekuwa akiwapa ushirikiano wa hali na Mali kuhakikisha Jeshi la MAGEREZA linakuwa na mazingira mazuri na kuimarisha mazingira ya wafungwa kwa ujumla.


SP.JOHN BOSCO MAX NGEMA-kaimu Mkuu wa GEREZA KIBONDO, amemshukuru sana Mbunge kwa namna ya pekee ambavyo ameguswa kuwasaidia kuwapa Sabuni wafungwa pamoja na kutoa mifuko 100 ya Simenti kwa ajili ya kuboresha miundombinu chakavu katika GEREZA hilo,licha ya kumtaka Mh. Mbunge kurudi na kuishawishi serikali kuendelea kuboresha miundombinu kwa ajili ya Usalama nk.


IMETOLEWA Na;
OFISI YA MBUNGE
JIMBO LA MUHAMBWE

CHINI YA UAKIRISHI

WA
MWANAMKE IMARA TAIFA IMARA TWENDE NA MAMA 2025-2030

Hao wafungwa wanakula cement,,rubish
 
🗓️ 3 AUGUST 2024 🗒️


View attachment 3061306

Dkt. Florence George Samizi,
Mbunge wa Jimbo la Muhambwe Jana ametembelea GEREZA LA NYAMISIVYI {W} Kibondo, lengo ikiwa ni kuwaona wafungwa na kuwapa sabuni kwa ajili ya mahitaji yao pamoja na kukabidhi Simenti mifuko 100 alizoahidi ikiwa ni moja ya kuunga mkono juhudi za Rais Samia Saluhu Hassan, ambaye amekuwa akiwapa ushirikiano wa hali na Mali kuhakikisha Jeshi la MAGEREZA linakuwa na mazingira mazuri na kuimarisha mazingira ya wafungwa kwa ujumla.


SP.JOHN BOSCO MAX NGEMA-kaimu Mkuu wa GEREZA KIBONDO, amemshukuru sana Mbunge kwa namna ya pekee ambavyo ameguswa kuwasaidia kuwapa Sabuni wafungwa pamoja na kutoa mifuko 100 ya Simenti kwa ajili ya kuboresha miundombinu chakavu katika GEREZA hilo,licha ya kumtaka Mh. Mbunge kurudi na kuishawishi serikali kuendelea kuboresha miundombinu kwa ajili ya Usalama nk.


IMETOLEWA Na;
OFISI YA MBUNGE
JIMBO LA MUHAMBWE

CHINI YA UAKIRISHI

WA
MWANAMKE IMARA TAIFA IMARA TWENDE NA MAMA 2025-2030

Watatembelea sana majimbo safari hii
 
Back
Top Bottom