Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 2,833
- 1,301
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Shinyanga, Mhe. Santiel Eric Kirumba mnamo tarehe 9/7/2024 alishiriki kugawa Mitungi ya Gesi kwa Wakunga wa Shinyanga DC na Shinyanga Manispaa kuwahamasisha kutumia nishati mbadala
"Tunatambua majukumu waliyonayo Wakunga, ili kutimiza majukumu yao kwa haraka tuliona tuwapatie nishati ya gesi ambayo itawasadia kuwahamisha Mama wajamzito waweze kutumia gesi maana moshi wa mkaa na kuni huathiri mapafu na takribani watu 75,000 hufariki kwasababu ya matumizi ya moshi" - Mhe. Santiel Eric Kirumba
Clean Cooking Campaign iluzinduliwa kitaifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika harakati za kumtua kuni mwanamke kichwani na kutunza mazingira ili kujiepusha na mabadiliko ya tabianchi
"Nawashukuru, Doris Mollel, Doris Mollel Foundation (DMF), Oryx Energies Tanzania kwa kuweza kufanikisha hili kwa Mkoa Shinyanga na Campaign hii ya Clean Cooking kwa watumishi wa Sekta ya Afya ambapo tuligawa mitungi 200" - Mhe. Santiel Eric Kirumba.
"Tunatambua majukumu waliyonayo Wakunga, ili kutimiza majukumu yao kwa haraka tuliona tuwapatie nishati ya gesi ambayo itawasadia kuwahamisha Mama wajamzito waweze kutumia gesi maana moshi wa mkaa na kuni huathiri mapafu na takribani watu 75,000 hufariki kwasababu ya matumizi ya moshi" - Mhe. Santiel Eric Kirumba
Clean Cooking Campaign iluzinduliwa kitaifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika harakati za kumtua kuni mwanamke kichwani na kutunza mazingira ili kujiepusha na mabadiliko ya tabianchi
"Nawashukuru, Doris Mollel, Doris Mollel Foundation (DMF), Oryx Energies Tanzania kwa kuweza kufanikisha hili kwa Mkoa Shinyanga na Campaign hii ya Clean Cooking kwa watumishi wa Sekta ya Afya ambapo tuligawa mitungi 200" - Mhe. Santiel Eric Kirumba.