Mbunge Selasini KUBURUZWA Mahakamani

Sheria inasemaje kwa tatizo kama lile linapotekea? Kama madereva wanaosababisha ajali uwa wanapelekwa mahakamani, basi kamanda Selasini hawezi kwepa. Vinginevyo tupate tafsiri sahihi juu ya hili itakuwa bora zaidi kuliko kujadili kwa hisia.
 
Tujaribu kupitia orodha za ajali za wabunge wa CCM, na hatua zilizochukuliwa dhidi yao. Yule dereva wa Chacha Wangwe (CHADEMA) alitumikia kifungo, huyu Selasini anashtakiwa, Regia (R.I.P) alifariki, sasa tuangalie madereva wa Kapuya, Salome Mbatia, Mudhihir, Menrad Kigola, Mussa Khamis Silima (alikuwa akiendesha yeye, mkewe akafa) na wengine wengi wa CCM
 

Kwa tabia zenu hizi hata mambo ya kisheria mnatumbukiza siasa ni hatari kwa nchi.

Huyu jamaa hayupo makini na sio mara ya kwanza kupata ajari. ingekuwa nchi za wenzetu angenyang'anywa leseni.

Yaani nina hasira mimi.
 
Ssa angefanyaje?kama tairi limepasuka?
 
Eti police wana maadili! Wangekuwa na maadili wangeuwa raia wasiokuwa na hatia? Wangekuwa wakijizolea rushwa kila kukicha!?
 
Eti police wana maadili! Wangekuwa na maadili wangeuwa raia wasiokuwa na hatia? Wangekuwa wakijizolea rushwa kila kukicha!?

Hujamuelewa.Anamaanisha maadili kwa watu maalum tu.
 
ni sheria tu lakini hatakutwa na hatia
na wala sio kesi ya mauaji
hata adhabu zake ni ndogo.
 
Usijekuta huyu mchaga hata hela anayolipwa kama mshahara wa dereva anameza.

haya ndio matatizo ya ndugu zangu wachaga,badiliken ndugu zangu! Hela zote anataka yeye, looh!!!
 

wewe utakuwa lichaga,kwa kubebana nyie,mnatisha! Uzalendo kwenu ni ukabila.
 
haya ndio matatizo ya ndugu zangu wachaga,badiliken ndugu zangu! Hela zote anataka yeye, looh!!!

Who confirmed that anakula hela za dereva?? What if dereva wake alikua mgonnjwa? Do you have enough facts of condemning him?
 
Huyu mbunge anaonekana ni careless sana haiwezekani ukawa na ajali mbili mpigo, na inasemekana anaendesha kwa fujo sana haya magari ya mkopo.

ndugu mpendwa,ninakushauri utafute kamusi ya kiswahili na utafute maana ya neno ajali.kisha nenda katafute kamusi kiingereza(dictionary) tafuta tena maana ya neno ajali(accident).baada ya kusoma kwa umakini,nenda kwenye google tafuta maana ya neno "RISK".baada ya kufanya zoezi hilo jepesi,kaa utafakari haya;"ni mtu gani aliye normal asiyempenda mama yake mzazi na kumjali"."je sisi binadamu ndio huwa tunapanga ni wakati gani tuugue na ni wakati gani tuwe na siha njema?"fikiriri kabla ya................
 
....ni mtu gani aliye normal asiyempenda mama yake mzazi na kumjali"
Well, kama alimpenda Mama yake mbona yeye alifunga mkanda lakini Mama yake hakumfungisha?

Unasema binadamu hapangi kuugua, ukilala na makahaba bila ma plastic ukapata umeme tukisema umejipangia kuumwa tutakosea?

Ssa angefanyaje?kama tairi limepasuka?
Kila siku ajali zikitokea utasikia matairi yamepasuka, matairi yamepasuka, matairi yamepasuka, uongo mtupu, mbona nchi zilizoendelea husikii kila siku matairi yamepasuka?

Ndio haya mambo tunasema humu lakini moderators wanafuta mawazo yetu, mauaji mengine ya barabarani ni uzembe tu!
 
askari wetu ni maffaa*** la kweli .. Badala ya kupiga vita ili serikali iache kuingiza bidhaa fake hasa kutokea kenya wanakuja na mashairi ya ajabu ajabu hapa.. Sishangai kuwa wengi wao wana vyeti fake.
mkuu, taratibu basi. unachopinga ni mbunge kushtakiwa au ni nini? kama we ni dereva, nadhani unajua sheria ya usalama barabarani, lkn kama ni layman na hujishughulishi kujisomea ndo mwanzo wa kauli kama zako. Ajali imetokea, na kupelekwa mahakani ndiko kuitafuta haki
 
kuna tangazo la kondomu linasema, " kama kweli unampenda utamlinda". kama alimpenda mama yake na wote waliokuwa ndani ya gari, mwenda kasi wa nini? kwani alikuwa marathon? haya kuna safety rules kwa wapanda magari, alizingatia? mfano kufunga mikanda na mengine? halafu yeye ni mheshimiwa, na tayari analipwa hadi hela ya dereva, kwa nini aendeshe yeye? kama siyo uchu na dhuluma vimemtawala ni nini? kwenda mahakaman aende ili pia mambo mengine yarekebishwe. na tusipofanya hivyo, ipo siku na rais wa jamhuru atachukuwa benzi za ikulu aanze kuendesha mwenyewe
 
Kwani kitatokea kipi kipya? Polisi acheni kuwa roboti na kuzalisha gharama bila sababu za msingi. Hii ni kesi ya Khufu Gia hapo hapo polisi.
 
Bwana Joseph Selasini; baada ya kusikiliza ushahidi na utetezi wa upande wako na kulipitia jalada la kesi yako, Mahakama imekukuta na kesi ya kujibu hivyo kwa kuzingatia kifungu cha 12 kifungu kidogo cha 3 B cha ajali barabarani, mahakama inakuhukumu kwenda jela Miezi sita au kulipa fine ya fedha za Tanzania kiasi cha shilingi laki nane.
Kooooooooot................

»Kama iwavyo kwa madereva wengine,mf.Mh.Chenge,dereva wa daladala, hata kwa hili la Mh.30 sio tatzo ni majukumu tu ya Polisi na Mahakama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…