Pre GE2025 Mbunge Semuguruka Amlipia Deni Mkazi wa Iringa Aliyekimbiwa na Mke

Pre GE2025 Mbunge Semuguruka Amlipia Deni Mkazi wa Iringa Aliyekimbiwa na Mke

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Kagera, Mhe. Oliver Semuguruka amefanya Kitendo cha Utu, huruma na mfano mzuri wa kuigwa baada ya kuamua kumlipia deni mkazi mmoja wa Mkoa wa Iringa aliyekumbiwa na mke wake kwasababu ya madeni ya Brac.

"Mke amekimbia ameniachia watoto, tulishauriana aende achukue mkopo ili tupate uwanja cha Tsh 300,000 au Tsh 400,000 ambapo marejesho ilikuwa kama Shilingi 15,000 kwa wiki lakini yeye alivyoenda alichukua 1,200,000 ambayo kwa wiki ni marejesho ya shilingi 38,000 ambayo nashindwa kuifikisha" - Mkazi wa Iringa (Mdaiwa)

"Walishachukua Sabufa, TV, na vitu vingine vimeisha. Mpaka sasa tumebaki na Sofa moja tu ambapo Brac wamesema watakuja kumalizia na Masufuria. Kazi yangu ni kubonda Kokoto ambayo Ndoo moja ni 1,000" - Mdaiwa, Mkoa wa Iringa.

"Kitendo hicho kilimuumiza sana kama Mama (tukiacha uanasiasa pembeni) nina hofu ya Mungu lakini pia kama mama nilijiuliza hawa watoto wangekuwa ni wa kwangu jinsi baba amewakumbatia katika shida, hakuamua kuwaacha" - Mhe. Oliver Semuguruka

"Nilimwambia yule Mzee nitamsaidia kulipa deni la kiasi kilichobaki. Nilimuambia Mwandishi wa Habari aende kwa yule mzee waende wanapodaiwa wapigiane mahesabu kisha aniletee Bili nimlipie"

"Niwasihi akina Mama, tuache tamaa ya kuchukua mikopo ambayo hatuwezi kuilipia" - Mhe. Oliver Semuguruka, Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Kagera
 
Mikopo hawachukui sababu ya tamaa. Wanachukua sababu ya umaskini.
 
Siasa za bongolendi dah! Pathetic

Hii ndio Tz na bongo zao fupi katika fikra.

Kuna ubaya gani kama mtu kafanya siasa lakini kupitia kumsaidia mtu?

Ukiona unaroho ya wivu mpaka kwa mtu kusaidiwa tena mwenye uhitaji kama si una uchawi basi uzee wako utakua mchawi..
 
Hii ndio Tz na bongo zao fupi katika fikra.

Kuna ubaya gani kama mtu kafanya siasa lakini kupitia kumsaidia mtu?

Ukiona unaroho ya wivu mpaka kwa mtu kusaidiwa tena mwenye uhitaji kama si una uchawi basi uzee wako utakua mchawi..
Yani nionee wivu upumbavu huu? Matumizi mabaya ya wivu yatakuwa sasa we fanya siaso majichoo kama hizi then njoo post tu kwa raha zako ila huna hatimiliki ya watu kufikiria wanavyotaka! Ungekuwa cha maana umefanya tangu umepewa na jiwe wala usingekuja kujitangaza hapa kwa kijimsaada ambacho watu tunafanya deile na inabaki moyoni kati yetu na Mungu. Anyway ni muda wa kurudisha hesabu so jiokotezee tu uwashawishi wakupe tena ukagonge meza huko!
 
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Kagera, Mhe. Oliver Semuguruka amefanya Kitendo cha Utu, huruma na mfano mzuri wa kuigwa baada ya kuamua kumlipia deni mkazi mmoja wa Mkoa wa Iringa aliyekumbiwa na mke wake kwasababu ya madeni ya Brac.

"Mke amekimbia ameniachia watoto, tulishauriana aende achukue mkopo ili tupate uwanja cha Tsh 300,000 au Tsh 400,000 ambapo marejesho ilikuwa kama Shilingi 15,000 kwa wiki lakini yeye alivyoenda alichukua 1,200,000 ambayo kwa wiki ni marejesho ya shilingi 38,000 ambayo nashindwa kuifikisha" - Mkazi wa Iringa (Mdaiwa)

"Walishachukua Sabufa, TV, na vitu vingine vimeisha. Mpaka sasa tumebaki na Sofa moja tu ambapo Brac wamesema watakuja kumalizia na Masufuria. Kazi yangu ni kubonda Kokoto ambayo Ndoo moja ni 1,000" - Mdaiwa, Mkoa wa Iringa.

"Kitendo hicho kilimuumiza sana kama Mama (tukiacha uanasiasa pembeni) nina hofu ya Mungu lakini pia kama mama nilijiuliza hawa watoto wangekuwa ni wa kwangu jinsi baba amewakumbatia katika shida, hakuamua kuwaacha" - Mhe. Oliver Semuguruka

"Nilimwambia yule Mzee nitamsaidia kulipa deni la kiasi kilichobaki. Nilimuambia Mwandishi wa Habari aende kwa yule mzee waende wanapodaiwa wapigiane mahesabu kisha aniletee Bili nimlipie"

"Niwasihi akina Mama, tuache tamaa ya kuchukua mikopo ambayo hatuwezi kuilipia" - Mhe. Oliver Semuguruka, Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Kagera
View attachment 3153025
Vituko vya uchaguzi mpaka watoto watapewa shikamoo..
By the way unapoenda kutoa msaada usibebe kamera
 
Hongera sana kwa Mheshimiwa Mbunge kumrudishia upya Furaha na Amani ya Moyo huyu Jamaa. Hakika nami natamani kukutana na huyu Jamaa kumtia Moyo zaidi. Namuona ni Mtu mwenye Maono makubwa na mafanikio siku za usoni. #BadoHatujaishiMpakaTukifanyaKituAmbachoTunayemfanyiaHaweziKutulipa
 
Hapo kina mama yakishawazidi hukimbilia makanisani kuomba miujiza ya kufuta deni
 
mshenzi kweli ,unafurahia K-yako inarudi pia toa kofia lako lakijaji hilo ,majaji wezako wamekususa

Muhehe Gani wewe,unamtuma mkeo akope laki TATU analeta Milion ....danganyaga wajinga bangaladeshi mkubwa wewe

hongera sana mbunge unafaa kuwa mke
 
Back
Top Bottom