Mbunge Shabiby: Filamu za kichawi zinaharibu watu kisaikolojia

Mbunge Shabiby: Filamu za kichawi zinaharibu watu kisaikolojia

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610

Mbunge wa Jimbo la Gairo Ahmed Shabiby akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Utamaduni,Sanaa na Michezo kwa mwaka wa fedha 2024/25 Bungeni Jijini Dodoma leo May 23,2024 ameiomba Wizara hiyo kupitia Bodi ya Filamu Tanzania kuziangalia upya Filamu zenye maudhui ya ushirikina (kichawi) akidai kuwa zinaharibu na kuharibu fikra za Watanzania.

“Mnajua mnawaharibu Watu kisaikolojia Watu wengi wanaharibika kisaikolojia hapa Tanzania ni kwa ajili ya vitu kama hivi vya hovyo unaweza ukamkuta Mtu anashinda kwa Mganga ameona kwenye Filamu kuwa kumbe uchawi upo na Mtu anafanikiwa ukienda.

Watoto wadogo nao wanaharibika na hawa Watoto wanaoangalia Filamu mjue mnaandaa Waganga na Wachawi wa baadaye ndio maana Watanzania wengi wanashinda kwenye mitandao hawafanyi kazi yoyote wanakuwa Wambeya kwasababu hakuna vitu vya maana ambavyo vinawafundisha”.

Mnakubaliana na hoja hii wakuu?
 
Ukweli kama ningekuwa mbuge siwezi changia hivyo heri nikae kimya nilipwe posho niondoke zangu

KWAKWELI SAFARI BADO NDEFU SANA. UNASHINDWA KUKEMEA MANABII YA KITAPELI YAMEJAA TENA HDI KWENYE MEDIA KUBWA YANARUSHWA HEWANI KUTAPELI WATU USEMEE MAIGIZO? TANGU TUANZE KUANGALIA FILM ZA AKINA ANALD,VANDAME NK NANI AMEWAHI ENDA KUVANIA KAMBI YA JESHI ?
 

Mbunge wa Jimbo la Gairo Ahmed Shabiby akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Utamaduni,Sanaa na Michezo kwa mwaka wa fedha 2024/25 Bungeni Jijini Dodoma leo May 23,2024 ameiomba Wizara hiyo kupitia Bodi ya Filamu Tanzania kuziangalia upya Filamu zenye maudhui ya ushirikina (kichawi) akidai kuwa zinaharibu na kuharibu fikra za Watanzania.

“Mnajua mnawaharibu Watu kisaikolojia Watu wengi wanaharibika kisaikolojia hapa Tanzania ni kwa ajili ya vitu kama hivi vya hovyo unaweza ukamkuta Mtu anashinda kwa Mganga ameona kwenye Filamu kuwa kumbe uchawi upo na Mtu anafanikiwa ukienda Watoto wadogo nao wanaharibika na hawa Watoto wanaoangalia Filamu mjue mnaandaa Waganga na Wachawi wa baadaye ndio maana Watanzania wengi wanashinda kwenye mitandao hawafanyi kazi yoyote wanakuwa Wambeya kwasababu hakuna vitu vya maana ambavyo vinawafundisha”.

Mnakubaliana na hoja hii wakuu?
ni kweli watu hawataki kufanya kazi kabisaa,

wanaiga mambo ya fedheha sana mathalani kuomba kuchangiwa vitu mbalimbali inakua ndio mazoea yao sasa, na hii ni aibu kubwa sana kwa Taifa 🐒
 
Ukweli kama ningekuwa mbuge siwezi changia hivyo heri nikae kimya nilipwe posho niondoke zangu

KWAKWELI SAFARI BADO NDEFU SANA. UNASHINDWA KUKEMEA MANABII YA KITAPELI YAMEJAA TENA HDI KWENYE MEDIA KUBWA YANARUSHWA HEWANI KUTAPELI WATU USEMEE MAIGIZO? TANGU TUANZE KUANGALIA FILM ZA AKINA ANALD,VANDAME NK NANI AMEWAHI ENDA KUVANIA KAMBI YA JESHI ?
Yeah !! Bro awa manabii fake wamezud wengn waongo pia watozwe kodi maan ongezek la maknis limekua kubwa
 

Mbunge wa Jimbo la Gairo Ahmed Shabiby akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Utamaduni,Sanaa na Michezo kwa mwaka wa fedha 2024/25 Bungeni Jijini Dodoma leo May 23,2024 ameiomba Wizara hiyo kupitia Bodi ya Filamu Tanzania kuziangalia upya Filamu zenye maudhui ya ushirikina (kichawi) akidai kuwa zinaharibu na kuharibu fikra za Watanzania.

“Mnajua mnawaharibu Watu kisaikolojia Watu wengi wanaharibika kisaikolojia hapa Tanzania ni kwa ajili ya vitu kama hivi vya hovyo unaweza ukamkuta Mtu anashinda kwa Mganga ameona kwenye Filamu kuwa kumbe uchawi upo na Mtu anafanikiwa ukienda Watoto wadogo nao wanaharibika na hawa Watoto wanaoangalia Filamu mjue mnaandaa Waganga na Wachawi wa baadaye ndio maana Watanzania wengi wanashinda kwenye mitandao hawafanyi kazi yoyote wanakuwa Wambeya kwasababu hakuna vitu vya maana ambavyo vinawafundisha”.

Mnakubaliana na hoja hii wakuu?
Hivi kwani hizo ndio kazi walizotumwa na wapiga kura wao!
 

Mbunge wa Jimbo la Gairo Ahmed Shabiby akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Utamaduni,Sanaa na Michezo kwa mwaka wa fedha 2024/25 Bungeni Jijini Dodoma leo May 23,2024 ameiomba Wizara hiyo kupitia Bodi ya Filamu Tanzania kuziangalia upya Filamu zenye maudhui ya ushirikina (kichawi) akidai kuwa zinaharibu na kuharibu fikra za Watanzania.

“Mnajua mnawaharibu Watu kisaikolojia Watu wengi wanaharibika kisaikolojia hapa Tanzania ni kwa ajili ya vitu kama hivi vya hovyo unaweza ukamkuta Mtu anashinda kwa Mganga ameona kwenye Filamu kuwa kumbe uchawi upo na Mtu anafanikiwa ukienda Watoto wadogo nao wanaharibika na hawa Watoto wanaoangalia Filamu mjue mnaandaa Waganga na Wachawi wa baadaye ndio maana Watanzania wengi wanashinda kwenye mitandao hawafanyi kazi yoyote wanakuwa Wambeya kwasababu hakuna vitu vya maana ambavyo vinawafundisha”.

Mnakubaliana na hoja hii wakuu?
Hoja ya kipumbavu .

Huwezi kutenganisha uchawi na mambo ya dini , akikataa hizo filamu za mambo ya kichawi na kiganga basi apinge pia filamu zenye maudhui ya dini.
 
Naungana na mh mbunge, jamii huchukulia maigizo ya tamthilia ni mambo yaliyopo kwenye jamii.
Bodi ya filamu ipunguze mambo ya kichawi kwenye filamu, hasa hizi tunazotazama kifamilia.
Lakini mbunge pia ametoa mfano wa mtoto aliyepata matatizo baada ya kuangalia filamu za aina hiyo.
Hata tunapoangalia maigizo ya mieleka ya WWE tunawekewa angalizo "Usiige"
 
hata haya makanisa ya kinabii yanaogopesha watu zaidi ya hizo filamu
 
Lakini asilimia kubwa huwa zinaonyesha negative impact ktk hayo wanayoyafanya hao wahusika
 
Back
Top Bottom