beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,880
- 6,368
Mbunge wa Jimbo la Sengerema (CCM), Hamis Hussein Tabasamu, amesema licha ya uwepo wa upungufu wa walimu na waliosomea kuwepo mitaani, Serikali imekuwa haitoi Ajira
Amesema, "Mimi nafikiri Mtaala wa Ualimu ufutwe katika Vyuo Vikuu kwasababu watu wanapelekwa kusomea Ualimu lakini wanaendelea kuwepo mitaani
Ameongeza, "Watu wanaenda kusomea Ualimu, una upungufu hautaki kuajiri. Hawa Vijana wetu itakuwaje? Upungufu tunao, lakini hamtaki kuajiri mnakuja na Ajira 6,000. Mimi nashindwa kuelewa hilo jambo"
Amesema, "Mimi nafikiri Mtaala wa Ualimu ufutwe katika Vyuo Vikuu kwasababu watu wanapelekwa kusomea Ualimu lakini wanaendelea kuwepo mitaani
Ameongeza, "Watu wanaenda kusomea Ualimu, una upungufu hautaki kuajiri. Hawa Vijana wetu itakuwaje? Upungufu tunao, lakini hamtaki kuajiri mnakuja na Ajira 6,000. Mimi nashindwa kuelewa hilo jambo"