Mbunge Tadayo: Serikali isilaumiwe kwa ukosefu wa Haki, Watendaji ndio wawajibishwe

Mbunge Tadayo: Serikali isilaumiwe kwa ukosefu wa Haki, Watendaji ndio wawajibishwe

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Mbunge wa Mwanga, Joseph Tadayo amesema serikali haipaswi kulaumiwa kwa ukosefu wa haki kwenye vyombo vya sheria, bali lawama ziende kwa watendaji kwani sheria zipo wazi.

Akichangia hoja ya Kamati ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria pamoja na Kamati ya Sheria Ndogo, Tadayo amesisitiza kuwa hakuna sababu ya mtu kunyimwa dhamana kwa kosa linalostahili dhamana.

"Ikikosekana haki tusilaumu serikali wala sheria, tulaumu watendaji kwa sababu sheria zipo na zinatoa kila fursa," amesema Tadayo.

Ameishauri serikali kuendelea kuwekeza katika ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) ili kuhakikisha haki inatendeka kwa kila mtu.

 
Mbunge wa Mwanga, Joseph Tadayo amesema serikali haipaswi kulaumiwa kwa ukosefu wa haki kwenye vyombo vya sheria, bali lawama ziende kwa watendaji kwani sheria zipo wazi.
Watendaji wakifanya vizuri, mnasema asante mama. Watendaji wakifanya vibaya, hamtaki mama alaumiwe!
 
Siyo kweli. Serikali ni watu, na watendaji kama polisi, wasipotimiza wajibu wao serikali ndiyo inayopaswa kuwachukulia hatua. Kwa upande wa mahakama pia kumbuka watendaji wakuu ni wateule wa rais (serikali). Hivyo raia anapokosa haki ni sahihi kuilaumu serikali.
Wabunge wa nyakati hizi wamekuwa 'chawa'. Badala ya kusimama upande wa wananchi na kuwatetea wao wamekuwa wanaisifu serkali hususan rais,
 
Mbunge wa Mwanga, Joseph Tadayo amesema serikali haipaswi kulaumiwa kwa ukosefu wa haki kwenye vyombo vya sheria, bali lawama ziende kwa watendaji kwani sheria zipo wazi.

Akichangia hoja ya Kamati ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria pamoja na Kamati ya Sheria Ndogo, Tadayo amesisitiza kuwa hakuna sababu ya mtu kunyimwa dhamana kwa kosa linalostahili dhamana.

"Ikikosekana haki tusilaumu serikali wala sheria, tulaumu watendaji kwa sababu sheria zipo na zinatoa kila fursa," amesema Tadayo.

Ameishauri serikali kuendelea kuwekeza katika ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) ili kuhakikisha haki inatendeka kwa kila mtu.

huyu mbunge au mwizi wa uchaguzi haya ndiyo madebe tupu tundu lissu anayaita jinga kabisa
 
Mbunge wa Mwanga, Joseph Tadayo amesema serikali haipaswi kulaumiwa kwa ukosefu wa haki kwenye vyombo vya sheria, bali lawama ziende kwa watendaji kwani sheria zipo wazi.

Akichangia hoja ya Kamati ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria pamoja na Kamati ya Sheria Ndogo, Tadayo amesisitiza kuwa hakuna sababu ya mtu kunyimwa dhamana kwa kosa linalostahili dhamana.

"Ikikosekana haki tusilaumu serikali wala sheria, tulaumu watendaji kwa sababu sheria zipo na zinatoa kila fursa," amesema Tadayo.

Ameishauri serikali kuendelea kuwekeza katika ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) ili kuhakikisha haki inatendeka kwa kila mtu.

Serikali ndio chanzo msiwabebeshe mzigo watendaji
 
Mbunge wa Mwanga, Joseph Tadayo amesema serikali haipaswi kulaumiwa kwa ukosefu wa haki kwenye vyombo vya sheria, bali lawama ziende kwa watendaji kwani sheria zipo wazi.

Akichangia hoja ya Kamati ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria pamoja na Kamati ya Sheria Ndogo, Tadayo amesisitiza kuwa hakuna sababu ya mtu kunyimwa dhamana kwa kosa linalostahili dhamana.

"Ikikosekana haki tusilaumu serikali wala sheria, tulaumu watendaji kwa sababu sheria zipo na zinatoa kila fursa," amesema Tadayo.

Ameishauri serikali kuendelea kuwekeza katika ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) ili kuhakikisha haki inatendeka kwa kila mtu.

Daaaa huyu Tadayo miakac15 ndio leo anachangia arudi tena khaaaa
 
Back
Top Bottom