Mbunge Tz ateta kuhusu maiti za waathirika wa Corona kuokotwa barabarani

Aliyasema ndani ya bunge, mngemhoji huko huko.
weuh, yaani wamekurupuka nikama uliwatia vidole hawa wanalumumba!

Uhuru n Umoja tulia boss corona ifanye kazi take na usiyapuuze 'maigizo' I mean maagizo ya rais. Pembeni ukajifukize...
Your browser is not able to display this video.
 
Sema tu siruhusiwi kuweka link za keny#talk humu

Kuna jamaa zenu kule tweeter sijui kagogo na mange yaani wanatupia videos na mapicha hadi inatia huruma, naomba zisiwe za kweli, iwe tu wanatengeneza tu.
 
Kuna jamaa zenu kule tweeter sijui kagogo na mange yaani wanatupia videos na mapicha hadi inatia huruma, naomba zisiwe za kweli, iwe tu wanatengeneza tu.
Hao wanajulikana lengo lao nini
 
Pia ashauri Tanzania ianze kutumia mfumo wa majimbo kama ilivyo Kenya, ili serikali kuu iache kuhusishwa na vimiradi vidogo vidogo kama vle barabara za vijijini.

 
Pia ashauri Tanzania ianze kutumia mfumo wa majimbo kama ilivyo Kenya, ili serikali kuu iache kuhusishwa na vimiradi vidogo vidogo kama vle barabara za vijijini.

 
poleni tz mazeee dahhhh....za kuambiwa ongezeni za zenuuu mchukue tahadharii!!
 
Mbona wewe kucha kutwa kuishindia Tanzania utafikiri inakulipa?
Unajua ni nyuzi ngapi zimefunguliwa na wenzako hapa kuzungumzia Kenya? Joto la jiwe na Geza Ulole wanazifungua kila siku ni kama wanalipwa na sisiemu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…