Pre GE2025 Mbunge wa Buchosa Erick Shigongo: Watanzania mna Rais bora. Shida tunasifiaga watu wakishakufa

Pre GE2025 Mbunge wa Buchosa Erick Shigongo: Watanzania mna Rais bora. Shida tunasifiaga watu wakishakufa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

CCM muwe mnachagua watu wa kusemea mambo yenu.

Watu wa imani wakisema huu ni uchuro kwa Rais, mtakataa.

Yaani mnasifia hadi mnaboa.

==================================
Mbunge wa Jimbo la Buchosa Kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Eric Shigongo, jana katika mkutano wake na Wana habari alipokuwa akielezea masuala kadhaa ya Kitaifa, ikiwemo Utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo na hali ya Kisiasa hapa nchini.

"Watanzania mna Rais Bora. Ila shida yetu ni moja sisi. Tunasifiaga watu wakishakufa. Ndo changamoto tu. Yaani mtu akifa ndo utasikia mtu anasifiwa"

“Kama hatuisimamii Serikali vizuri, matokeo hayawezi kuwa mazuri, kwa hiyo sifa zote ambazo zinatolewa kwa Serikali ni matokeo ya Mhimili kuisimamia Serikali Vizuri, kwa Sababu Bunge linaongozwa na Spika ambae ni Mchapakazi Dkt Tulia Ackson”


 
Wakuu,

CCM muwe mnachagua watu wa kusemea mambo yenu.

Watu wa imani wakisema huu ni uchuro kwa Rais, mtakataa.

Yaani mnasifia hadi mnaboa.

==================================
Mbunge wa Jimbo la Buchosa Kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Eric Shigongo, jana katika mkutano wake na Wana habari alipokuwa akielezea masuala kadhaa ya Kitaifa, ikiwemo Utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo na hali ya Kisiasa hapa nchini.

"Watanzania mna Rais Bora. Ila shida yetu ni moja sisi. Tunasifiaga watu wakishakufa. Ndo changamoto tu. Yaani mtu akifa ndo utasikia mtu anasifiwa"

“Kama hatuisimamii Serikali vizuri, matokeo hayawezi kuwa mazuri, kwa hiyo sifa zote ambazo zinatolewa kwa Serikali ni matokeo ya Mhimili kuisimamia Serikali Vizuri, kwa Sababu Bunge linaongozwa na Spika ambae ni Mchapakazi Dkt Tulia Ackson”


well done,
well said Eric :KasugaYeah: :ClapHD:
 
Samia anafanya kazi kubwa sana adui yake ni jinsia yake kuwa ya kike, atafanya mazuri 9 na baya moja litashikiwa bango baya moja na hayo tisa yatasahaulika mapema.

Anajenga viwanja viwili kwa mpigo kule Arusha na Dodoma, sio kazi ndogo. Hapo hatujaongelea SGR na miradi mingine mingi inayofanyiwa kazi muda huu.
 
Huyu badala ya kuhamasisha jimboni kwake wananchi waache imani za kishirikina anabaki na Uchawa
 
20250211_191743.jpg
 
Back
Top Bottom