Mbunge wa Bukoba Vijijini asema CCM itapigania serikali mbili

Mbunge wa Bukoba Vijijini asema CCM itapigania serikali mbili

KITANGE

Senior Member
Joined
Apr 12, 2013
Posts
138
Reaction score
42
Mbunge wa jimbo la uchaguzi Bukoba Vijijini amesema CCM watapambana kuhakikisha kuwa hakuna atakayefurukuta kupenda kuleta serikali tatu. Serikali mbili zinaepusha vita kama izilivyo nchi nyingine.

Anaendelea kusema kuwa wabunge wa CCM watapambana bungeni na hakuna atakayeweza kukubali maoni ya Tume ya Warioba kuhusu serikali tatu.

Mkutano wa Kata Kishanje unafanyika Kaalilo Shule ya Msingi. Wananchi toka vijiji vitatu hawafiki mia na baadhi wamevaa njano na kijani.
 
Hili jimbo nalo liko wazi, makamabda wa M4C wangeelekeza chopper zao huku, nashangaa hakuna hata diwani wa upinzani jimbo hili.
 
Back
Top Bottom