Mbunge wa CCM adai DED wa Kilwa anajifanya mungu-mtu. Ametukana madiwani, Mbunge hadi RC na anawadharau sana

Mbunge wa CCM adai DED wa Kilwa anajifanya mungu-mtu. Ametukana madiwani, Mbunge hadi RC na anawadharau sana

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mbunge wa Kilwa amesema mkurugenzi wa halmashauri ya Kilwa anajifanya mungumtu na anawadharau viongozi wote wa wilaya hadi mkoa.

DED ametukana madiwani mbunge na mkuu wa mkoa tena anatamba kuwa yeye ni mteule wa Rais hivyo hawawezi kumfanya lolote kwahiyo mbunge huyo amemtaka waziri Ummy Mwalimu kumchukulia hatua kali kijana wske huyo.

Chanzo: ITV habari

Ramadha Kareem!
 
Nioneshe WABUNGE NA MA-DED wanaoelewana nikuoneshe VIONGOZI WA TANZANIA WAZALENDO.

Mambo yao binafsi ya kimadaraka wanayaleta kwenye kazi ya kutumikia wananchi.
 
Kilwa n halmashaur ya kipigaj Sana kila mkurugenz anapiga sababu Kuna hela ya gawio la kampun ya SONGAS ya songosongo n mzigo mnene hapo ndipo ugomvi unaanzia mbunge anaitolea macho na mkurugenz jicho linatoka pia

ADDO MAPUNDA nadhan Sasa n RAS MKOA FULANI ndyo aliyekula pakubwa katika mgao huo
 
Pamoja na ushahidi wa waliotukanwa wewe unaona ni majungu?!

Haiwezekani mtu mzima na akili zake timamu atukane wenzie hovyohovyo kama inavyosemwa bali lazima pana msuguano wa kimaslahi pahala fulani na ndipo zengwe linapoanzia. DSO atakuwa na habari kamili kama naye hajanunuliwa.
 
Haiwezekani mtu mzima na akili zake timamu atukane wenzie hovyohovyo kama inavyosemwa bali lazima pana msuguano wa kimaslahi pahala fulani na ndipo zengwe linapoanzia....DSO atakuwa na habari kamili kama naye hajanunuliwa
DSO hajawahi kununuliwa na hatakuja kununuliwa popote ni mbinu za kazi tu
 
Mbunge wa Kilwa mh Sangu amesema mkurugenzi wa halmashauri ya Kilwa anajifanya mungumtu na anawadharau viongozi wote wa wilaya hadi mkoa

DED ametukana madiwani mbunge na mkuu wa mkoa tena anatamba kuwa yeye ni mteule wa Rais hivyo hawawezi kumfanya lolote kwahiyo mbunge huyo amemtaka waziri Ummy Mwalimu kumchukulia hatua kali kijana wske huyo

Source: ITV habari

Ramadha Kareem!
Nguruwe wanakulana wenyewe kwa wenyewe
 
DSO hajawahi kununuliwa na hatakuja kununuliwa popote ni mbinu za kazi tu
Usikanie hao ma DSO kwenye baadhi ya halmashauri wanakuwaga na tabia za hovyo sanaa wanafanya kazi kwa majungu na umbeya wa hali ya juu.
 
Mbunge wa Kilwa mh Sangu amesema mkurugenzi wa halmashauri ya Kilwa anajifanya mungumtu na anawadharau viongozi wote wa wilaya hadi mkoa

DED ametukana madiwani mbunge na mkuu wa mkoa tena anatamba kuwa yeye ni mteule wa Rais hivyo hawawezi kumfanya lolote kwahiyo mbunge huyo amemtaka waziri Ummy Mwalimu kumchukulia hatua kali kijana wske huyo

Source: ITV habari

Ramadha Kareem!
Kimsingi MaDED ndio kwa jiihada zao wakishirikiana na NEC waliofanikisha kuwapa ubunge hao vilaza wasio stahiri. Sasa kama wanaleta mdomo mdomo mbele ya mabosi zao watakiona.

Mwingine ni Mbunge wa Kerwa huko Sumbawanga analalamika eti DED anamdharau na kumtukana mbele za watu.

Malipo ni hapa hapa duniani.
 
Back
Top Bottom