Mbunge wa CCM atahadharisha Serikali kuendelea kukopa, asema kukopa sio sifa

Mbunge wa CCM atahadharisha Serikali kuendelea kukopa, asema kukopa sio sifa

Mzee wa Code

Member
Joined
Sep 23, 2024
Posts
61
Reaction score
91
Mbunge wa CCM, Zahor Mohamed Haji wa Mwera ameitahadharisha Serikali kuacha kuendelea kukopa kwa sababu kufanya hivyo sio Sifa.

 
Ameongea vizuri ila hapo kwenye wataalam hapo! Wataalam watanzania ndio wanaoifanya hii nchi inazidi kuwa masikini na madeni! Wataalam jina utendaji sifuri!
 
Ameongea vizuri ila hapo kwenye wataalam hapo! Wataalam watanzania ndio wanaoifanya hii nchi inazidi kuwa masikini na madeni! Wataalam jina utendaji sifuri!

Ukishasema wataalamu tu,hapa Tanzania, ujue ni kundi la wapigaji wameunganisha nguvu kuleta hadaa. Utaalamu gani ambao kila siku mambo yanazidi kuwa mabaya ila wao wanatengeneza statics za kujisifia?

Mbunge anasema kweli. Mikopo wanayochukua inafanya kazi gani? Mbona tumekopa sana kuliko kawaidana kwa muda mfupi?
 
Mmh huyu atafukuzwa kaz wakat sarikl etu inatakiwa kusifiwa sio kuambiwa ukwel
 
Mbunge wa CCM, Zahor Mohamed Haji wa Mwera ameitahadharisha Serikali kuacha kuendelea kukopa kwa sababu kufanya hivyo sio Sifa.

Kukopa ni Umasikini angalieni Bukinafaso mwamba Cptn Traorre anapiga hatua sana sana ataipita TZ kama haijazaliwa jamaa ana vision kumwa sanaa nyie endeleeni kulumbana tu .I think baada S outh Africa itakuwa ya pili kwa maendeleo au itakuwa ya kwanza kwa Africa.
 
Back
Top Bottom