Jimmy P. Elimu ya darasa la & inakubalika kwa Mgombea yoyote, kwani yy huwa ni Muwakilishi wa wananchi na sio mtendaji, ukienda Marekani (Ronald Reagan) Msanii na mpanda farasi, Madagasca (Rais wa alikuwa DJ) kwa kifupi haizuii kuiongoza Nchi, Jimbo au Kata Elimu yako ya STD 7
sasa
Jaman Chadema hawa ndio mnategemea kuwapa uwaziri mkishika nchi kweli Chadema Hakuna Kitu acheni kuwadanganya Watanzani Darasa la Saba , Bosi wenu Mbowe Form six hata katiba ya nchi hairuhusu Kushika Nchi Mtu asiyekuwa graduate hivi Mngewekewa Pingamizi angeshinda mngesema Fitina ya CCM Kumbe Shule hakuna, Dr Slaa naye anabeba wake za Watu hata Ikulu hajaingia atatuchukulia Madem zetu tu na atakuwa anatumia Kodi za Watanzania kuwahonga Magari Wanawake zetu, Kweli ndio maana mnaambiwa Chadema ni chama cha wanaharakati , chama cha Ukanda ....
Kwa maadili ya Watanzania Dr hafai kushika nchi hebu tuwe wakwel tuache ushabiki hivi mtu akikuchukulia Mkeo utajisikiaje?
​naogopa burn
​naogopa burn
naogopa burn
Misleading info. Hajaishia STD 7, ni mwalimu wa UPE.
Enzi za mwalimu alikuwa kinara huyu.
Haya Mkuu, Nchi hii imeshafikia kuongozwa na ma Dr , na kwa kulitambua hilo leo tuna Dr JK na tutaendele kushuhudia ma Dr wajao usishangae ukasikia Dr EK 2015 , yetu maho tutasikia mengiJaman Chadema hawa ndio mnategemea kuwapa uwaziri mkishika nchi kweli Chadema Hakuna Kitu acheni kuwadanganya Watanzani Darasa la Saba , Bosi wenu Mbowe Form six hata katiba ya nchi hairuhusu Kushika Nchi Mtu asiyekuwa graduate hivi Mngewekewa Pingamizi angeshinda mngesema Fitina ya CCM Kumbe Shule hakuna, Dr Slaa naye anabeba wake za Watu hata Ikulu hajaingia atatuchukulia Madem zetu tu na atakuwa anatumia Kodi za Watanzania kuwahonga Magari Wanawake zetu, Kweli ndio maana mnaambiwa Chadema ni chama cha wanaharakati , chama cha Ukanda ....
Kwa maadili ya Watanzania Dr hafai kushika nchi hebu tuwe wakwel tuache ushabiki hivi mtu akikuchukulia Mkeo utajisikiaje?