Pre GE2025 Mbunge wa Gairo Ahmed Shabiby: Kuna siku nitakuja kutimua wafanyakazi wazembe

Pre GE2025 Mbunge wa Gairo Ahmed Shabiby: Kuna siku nitakuja kutimua wafanyakazi wazembe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Mbunge wa Gairo Ahmed Shabiby ambaye ni kaka wa mfanyabiashara Meleikh Online Shabiby alivamia sherehe ya wafanyakazi wa Mdogo wake Meleikh Shabiby na akapata nafasi ya kuzungumza na wafanyakazi ambapo aliwasisitiza kufanya kazi kwa weledi na bidii na akatoa ahadi kuwa ipo siku atakuja kuwafukuza wafanyakazi wote wazembe kwenye Makampuni Meleikh Shabiby.

Mbunge huyo ameyasema hayo usiku wa kuamkia leo katika sherehe ya kufungua mwaka ya wafanyakazi wote wa mfanyabiashara Meleikh Shabiby.

Source: Ngasa TV


 
Ipo siku tutakuja kuwatimua magabachori wote nchini
 
Mbunge wa Gairo Ahmed Shabiby ambaye ni kaka wa mfanyabiashara Meleikh Online Shabiby alivamia sherehe ya wafanyakazi wa Mdogo wake Meleikh Shabiby na akapata nafasi ya kuzungumza na wafanyakazi ambapo aliwasisitiza kufanya kazi kwa weledi na bidii na akatoa ahadi kuwa ipo siku atakuja kuwafukuza wafanyakazi wote wazembe kwenye Makampuni Meleikh Shabiby.

Mbunge huyo ameyasema hayo usiku wa kuamkia leo katika sherehe ya kufungua mwaka ya wafanyakazi wote wa mfanyabiashara Meleikh Shabiby.

Source: Ngasa TV


View attachment 3240926
Safi sana. Serikali nayo ingewaza kufanya hivyo!
Wafanyakazi wanajisahau sana!
 
Back
Top Bottom