Mbunge wa Hai, Mafuwe ameiomba serikali kuu kusaidia waathirika wa mafuriko kwani vyoo vinatapika ovyo!

Mbunge wa Hai, Mafuwe ameiomba serikali kuu kusaidia waathirika wa mafuriko kwani vyoo vinatapika ovyo!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mbunge wa jimbo la Hai mkoani Kilimanjaro mh Mafuwe ameiomba serikali kuu kuingilia kati kuwasaidia wananchi wa jimbo hilo waliokumbwa na mafuriko.

Mafuwe anasema hali ni mbaya sana kwani vyoo vinabomoka na vinyesi kuzagaa mitaani hali inatishia uwezekano wa kuzuka magonjwa ya mlipuko wakati wowote kuanzia sasa.

Kadhalika madaraja nane yamebomolewa kabisa na mafuriko hayo.

Source: ITV habari

Kazi Iendelee!
 
Mbunge wa jimbo la Hai mkoani Kilimanjaro mh Mafuwe ameiomba serikali kuu kuingilia kati kuwasaidia wananchi wa jimbo hilo waliokumbwa na mafuriko.

Mafuwe anasema hali ni mbaya sana kwani vyoo vinabomoka na vinyesi kuzagaa mitaani hali inatishia uwezekano wa kuzuka magonjwa ya mlipuko wakati wowote kuanzia sasa.

Kadhalika madaraja nane yamebomolewa kabisa na mafuriko hayo.

Source: ITV habari

Kazi Iendelee!
Hizo ni laana ya kutotenda haki wakati wakuwania nafasi aliyonayo,hivyo apambane na hali yake,watu wale sii wakushindwa kusaidiana kwenye majanga,aseme wamekosa hamasa tutamwelewa na kumsaidia.
 
Jimbo sasa linae mbunge anaetatua kero za wananchi. Enzi zile sasa hivi wapo barabarani wanaandamana kupigania ushoga.
 
Upinzani si mlisema wanachelewesha maendeleo, mbona mbunge wa chama tawala anaanza kulilia vyoo.
 
Back
Top Bottom