peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Kwa masikitiko makubwa, kila Jimbo Tanzania linapokea fedha za mfuko wa Jimbo kwa maendeleo ya Jimbo. Huu ni mwaka wa 3 Jimbo la Hai halijawahi kuona au kupokea fedha za mfuko wa Jimbo kwa ajili ya ujenzi wa maendeleo ya Hai.
Mbunge Saashisha Mafue akiulizwa anataka kukata watu na mapanga. Mfuko huo hauna kamati wala haijulikani kama Mbunge anapewa fedha za mfuko wa Jimbo.
Kwa Hali ilivyo fedha zote zitalipwa na mbunge Saashisha na tunamtangazia kuwa aanze kufungasha virago mapema ampishe kijana mwenzake ambaye ameanza kuanzisha hata timu za mipira na kuchangia maendeleo ya Jimbo la Hai.
Saashisha anza kufungasha mizigo mapema.
Mbunge Saashisha Mafue akiulizwa anataka kukata watu na mapanga. Mfuko huo hauna kamati wala haijulikani kama Mbunge anapewa fedha za mfuko wa Jimbo.
Kwa Hali ilivyo fedha zote zitalipwa na mbunge Saashisha na tunamtangazia kuwa aanze kufungasha virago mapema ampishe kijana mwenzake ambaye ameanza kuanzisha hata timu za mipira na kuchangia maendeleo ya Jimbo la Hai.
Saashisha anza kufungasha mizigo mapema.