Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 2,833
- 1,301
Jiandae kama Namuona Shishi akipiga jarambaIgunga, Tabora
Habari Picha: Mbunge wa Jimbo la Igunga Mhe. Nicholaus George Ngassa akisalimiana na Wakazi wa Kitongoji cha Mhama Mmoja Kijiji cha Itumba akiwa siku ya Pili ya Ziara ya Kikazi Jimboni.
Baada ya Ziara ya Kikazi, Mheshimiwa Ngassa (MB) amekutana na Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Kata na kuzindua Ujenzi wa Ofisi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Kata ya Itumba.
"KAZI NA MAENDELEO"
Imetolewa na:
Ofisi ya Mbunge
Jimbo la Igunga
21 Mei 2023
View attachment 2629726View attachment 2629727View attachment 2629728View attachment 2629729View attachment 2629729View attachment 2629730View attachment 2629731