Mbunge wa Kabete Nairobi, Mh. George Muchai auawa kwa kupigwa risasi

Mbunge wa Kabete Nairobi, Mh. George Muchai auawa kwa kupigwa risasi

commonmwananchi

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2011
Posts
3,377
Reaction score
1,956
Kwa mujibu wa televisheni ya ntv ya Kenya.

Mheshimiwa ameuawa pamoja na dereva wake pamoja na walinzi wake wawili majira ya saa nane na nusu usiku wa kuamkia leo katkka barabara ya Kenyatta avenue wakati akiwa njiani kutoka katika sherehe.

Alisimama na ili kununua magazeti,na ndipo mtu aliyevalia mask alipojitokeza kutoka gari ndogo aina ya toyota pro-box na kuanza kuwafyatulia risasi vichwani kila mmoja,akitumia bunduki aina ya AK 47.

Pia alipora briefcase ya marehemu pamoja na bastola mbili za walinzi wake na kutokomea kusikojulikana akitumia gari hilo lililokuwa limefichwa namba zake.

Marehemu pia alikuwa ameambatana na mke na watoto wake wawili wa kike waliokuwa ndani ya gari la nyuma na walishuhudia mauaji hayo yakifanyika.

Mwili wa marehemu umehifadhiwa Kenyatta hospital Nairobi.

R.I.P marehemu wote.


B9OA30mCMAAI5NN.jpg


Kabete MP George Muchai was shot dead early Saturday morning at Kenyatta Avenue-Uhuru Highway roundabout in Nairobi.

Two of the MP's bodyguards and a driver also died in the incident, Nairobi Central Police OCPD Paul Wanjama confirmed.

The incident, according to Mr Wanjama, happened between 3am and 4.30 am.

The four were in the same car as another one with family members, including the wife and a daughter of the MP, followed from behind.

Occupants of the second vehicle said the MP stopped at the roundabout when four people with big guns approached his car and started shooting.

"They just started spraying it with bullets. When we saw that, our driver sped past the other car and when we came back to the scene a few minutes later, all the occupants of the vehicle were dead," the relative told detectives at the scene.

A newspaper vendor who witnessed the shooting told the police that one of the gunmen who led the shooting had a facemask.

The bodies of the four had bullet wounds in the head and chest.

They were taken to the Lee Funeral home at 6.30am.

THOROUGH INVESTIGATION

Legislators who arrived at the Lee Funeral Home asked the government to do a thorough investigation into the killing, saying it would be easy to get the murderers as the scene of the crime is under the surveillance of CCTV cameras.

Kiambu Senator Kimani Wamatangi said Mr Muchai had been threatened several times and had reported the threats to the police.

"The CCTV clips should be handed to the detectives as soon as possible. There is no way the perpetrators will not be known" he said.

Nairobi Senator Mike Sonko, who also arrived at the crime scene, asked the government to take the safety of legislators in the country seriously.

Other legislators at the Lee Funeral Home include Gatundu North MP Kigwa Njenga, Kipipiri MP Samuel Gichingi, Ruiru MP Esther Gathogo, Juve Njomo, MP for Kiambu and Kiambu Women Representative Anne Gathechu.

They all alleged that Mr Muchai's death was a clear assassination whose execution was planned.



Source: nation.co.ke
 

Attachments

  • 1423289426568.jpg
    1423289426568.jpg
    38 KB · Views: 2,050
Pole sana Mh Mbunge
Mungu Ailaze Pema Peponi Roho ya Mh
 
Pana jambo. Si hvhv.

Ni kweli maana eneo lile la nyayo lilikuwa na askari kadhaa karibu na eneo la tukio na hawaluonekana kufanya lolote.
Hii ni kwa mujibu wa muuza magazeti shuhuda wa tukio.
Pia huyu anakuwa mbunge wa pili kutoka kiambuu kuuliwa mkuu
 
poleni wafiwa...poor victims caught off guarded....
 
Very Sad indeed! ... May they RIP
Kabete MP George Muchai shot dead outside Nyayo House in Nairobi. His driver, bodyguard and another passenger also killed. Police say masked gunmen in a Probox trailed them from Westlands


10603774_10152339107759058_1767999305662678268_n.jpg

1460165_10152339107894058_8438918060449554688_n.jpg
 
Ni kweli maana eneo lile la nyayo lilikuwa na askari kadhaa karibu na eneo la tukio na hawaluonekana kufanya lolote.
Hii ni kwa mujibu wa muuza magazeti shuhuda wa tukio.
Pia huyu anakuwa mbunge wa pili kutoka kiambuu kuuliwa mkuu

Ajabu ni kwamba huyo muuaji ni kama hakuwa na wasiwasi wa kukamatwa kwani aliwapiga risasi na kuwaua wote wanne yaani mbunge, walinzi wawili na dereva.

Halafu pia akachukua bastola mbili za walinzi na briefcase ya mbunge na kuondoka zake.

R.I.P mbunge na wenzake.
 
Back
Top Bottom