Mbunge wa Kahama Mjini(CCM), Jumanne Kishimba ashauri Serikali kuanzisha chuo cha wizi

Wote wanao muunga mkono huyu Kishimba ukiwachunguza utakuta ni wale waliofeli au waliosoma kwa kuunga unga.
 
Wote wanao muunga mkono huyu Kishimba ukiwachunguza utakuta ni wale waliofeli au waliosoma kwa kuunga unga.
Kwahyo wewe ndio unaakili kuliko raisi wako aliyekubali maneno ya kishimba? Yaan elimu ya kujifunza kuchora panzi inamsaada gan kwa mtu anayekosa za serekali
 
Wabunge wa CCM hao, saafi kabisa, kimjaacho mtu ndicho kimtokacho
 
Labda wananchi wenzake wa Kahama ndio wanamtuma aongee huo utumbo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…