Mbunge wa Kahama Mjini (CCM), Jumanne Kishimba ataka waliolima Bangi waruhusiwe kuiuza

Naunga mkono hoja..
Bangi ihalalishwe.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu mzee ni mpumbavu kabisa ! Nchi ina mijadala mizito ya Makonda na Mwamposa anaanza kuwatoa watu mchezoni ! Hovyo kabisa. Mwambie akavute hayo mabangi mwenyewe ! Na ukoo wake mzima !
Haoni mwenzake msiba baada ya kukosa soko la bangi msiba aliamua kuvuta mwenyewe na inampa mafanikio kila Siku anaota kazaliwa chato Lumumba haendi tena kulamba buku saba anatumia falsafa ya when things goes tough let tough goes with it
 
KUNA WAHESHIMIWA WENGINE WANALENGA KUFURAHISHA WAPIGA KURA WAO ... KAMA MIMI NINGEKUWA NINARUSIWA KUTOA USHAURI MAMLAKA ZA JUU ZA BUNGE ZINGEPASWA KUANDAA TIM YA WATU WAKIWEPO MAASKARI KUPITA KATA MOJA BAADA YA NYINGINE KTK JIMBO LA MTETEZI WA BANGI. KWA VYOVYOTE TUNGEPATA WANANCHI WENYE MATUMIZI NA MUHADARATI HUO. TUNGEWAKAMATA NA KUWAFIKISHA KTK VYOMBO VYA KISHERIA.

BANGI HAIKUBALIKI MUHESHIMIWAA. SI KUUZA, WALA KULA, WALA KUVUTA, WALA KULIMA, WALA WALA WALA WALA WALA......
 
Ndiyo maana wasomi mnadharaulika.

Mbunge Kishimba milionea mwekezaji wa kimataifa aliyeishia darasa la saba tu,ameweza kufanya utafiti yakininifu kabisa kuhusu zao la bangi.

Unakuja msomi kama wewe tena si ajabu una GPA zaidi ya 4,bila hata kufanya utafiti kidogo tu japo kwa Ku google,unakuja na hitimisho eti mmechoshwa?!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ndio mpumbavu ila hujielewi tu!

Itakuongezea nini kujadili mwamposa au makonda?

Nchi itafaidikaje kujadili personalities na siyo issues kama Kishimba anavyofanya?

Unatamani nchi iwe na wapuuzi wambea kama wewe?
Huyu mzee ni mpumbavu kabisa ! Nchi ina mijadala mizito ya Makonda na Mwamposa anaanza kuwatoa watu mchezoni ! Hovyo kabisa. Mwambie akavute hayo mabangi mwenyewe ! Na ukoo wake mzima !

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Africa kuna majitu yanatumia akili kwa kula tu


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Basi awashauri wakulima bangi muandamane! Biashara haramu hata kilimo chake haramu sasa yeye na wewe mnafikiaje hatua ya kuomba kuuza kwa miezi site?

Mna tani ngapi kwanza mpaka mnahitaji miezi yote site
 
Wakulima wa Bangi wawe na leseni maalumu!ambayo wataruhusiwa kuiuza nje ya nchi nakupata fedha za kigeni!ndani ya nchi isiuzwe bali nje ya nchi zinazotumia!!!MBONA ANNA MAKINDA ANASEMA BANGI YA NJOMBE SIO KALI!MAANA YAKE NA YEYE AMEILA NA KUIVUTA!!HATA JPM ILI AROPOKE VIZURI NADHANI ANAKULA JANI KWANZA!!!
 
We umekariri hakuna kitu kibaya kama kushikiwa akili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…