Pre GE2025 Mbunge wa Kitunda, Kivule Relini ni nani? Itasikitisha sana mkiwarudisha tena mwakani, si kwa njia hizi

Pre GE2025 Mbunge wa Kitunda, Kivule Relini ni nani? Itasikitisha sana mkiwarudisha tena mwakani, si kwa njia hizi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Yaaan ukifika banana panda kwenda kivule aisee.

Kuna lami wamekula wajanja yaaan wanatengeneza vipande wanafika Sehemu ya Kilomita zaidi ya 7 hakuna njia mashimoo tupu.

Unakuta lamiii tena hawa watu sijui wamekubaliaje hii hali.

Hataree sana na inasikitisha kweli kweli maisha wanayoishi kama hawana mbunge na nwakani utashangaa wanamrudisha yuleyulee
 
Back
Top Bottom