Mbunge wa Mbogwe aliyedaiwa kuugua uchizi awaomba BAKWATA kumuombea dua

Mbunge wa Mbogwe aliyedaiwa kuugua uchizi awaomba BAKWATA kumuombea dua

Kamanda Asiyechoka

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2020
Posts
3,315
Reaction score
5,058
"Vipo vyombo vimeibuka na kusema mimi Nicodemus Maganga ni kichaa, niliugua wiki chache zilizopita, ni kawaida kuugua , suala hili liliibuka na kwenye kipindi cha uchaguzi. Hivyo niwaombe ndugu zangu viongozi wa BAKWATA Mbogwe mniombee dua" Nicodemus Maganga, Mbunge wa Mbogwe

IMG_20211206_190334.jpg

IMG_20211206_190344.jpg
 
Confirmed! Tuna haja tena ya ushahidi? Rarueni mavazi yenu!
 
Kama walimuwahi kabla hajaanza kufakamia mapochopocho ya majalalani anaweza kupona ila atakuwa na wenge maisha yake yote.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom