Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
HahahahaWakuombee bakwata tuu ok ok
Kichaa katunukiwa Ph.D!!!! Nchi hii ina vichekesho sana .hivi ukichaa unatibika kwa dua za BAKWATA mbona Joseph Kasheku yeye haponi
Si tumeambiwa ameugua ukichaa!Maganga na msikitini wapi na wapi?
Karibia wote wa chama changu walikwiba kuraAlikwiba kura lazima akili ziruke.
Hawa karibia wote ama wanaingia usingizini au wamelala kabisa.
Darasa la 2 si tatizoMbunge kaishia darasa la pili huyu, Mbogwe jimbo la hovyo sana.
Huyu ndiye aliyesema mishahara ya wabunge ni midogo na akasema wabunge wenzake wanaishi kijanja janja lkn yeye hataki ujanja janja.Nicodemus Maganga ni kichaa, niliugua
Huo ugonjwa umetamalaki sana pale bungenikichaa ni ugonjwa kama magonjwa mengine. Na unatibika.
Etiiiiii!Si tumeambiwa ameugua ukichaa!