Mbunge wa Mbogwe aliyedaiwa kuugua uchizi yu mzima wa afya

Mbunge wa Mbogwe aliyedaiwa kuugua uchizi yu mzima wa afya

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Kwa mujibu wa Katibu wa Mbunge wa Jimbo la Mbongwe, Mobahe George amesema kuwa, mbunge wa jimbo hilo Nicodemas Maganga ni mzima na yupo mapumziko kwa sasa ndio maana hapatikani hewani na kwamba taarifa zilizoandikwa na gazeti la Jamvi la Habari ni za kupuuzwa hazina ukweli wowote https://t.co/0NB9J36h9o
IMG_20211118_183805.jpg
 
Ile kauli aliyoitoa Katibu wake kwamba jamaa ni mzima aliumwa malaria tu ndio ilinichanganya zaidi, bora wangemsubiri mgonjwa mwenyewe apate nafuu ndio aongee kuhusu hali yake.
 
Kama yuko fiti si aseme mwenyewe?....naona nyie wasemaji ndio mnaokuza mambo bila kujijua.
 
Ktibu nae akili Hana kpumzika tu anashdwa kupokea cm anazima kabisa
 
Kwa mujibu wa Katibu wa Mbunge wa Jimbo la Mbongwe, Mobahe George amesema kuwa, mbunge wa jimbo hilo Nicodemas Maganga ni mzima na yupo mapumziko kwa sasa ndio maana hapatikani hewani na kwamba taarifa zilizoandikwa na gazeti la Jamvi la Habari ni za kupuuzwa hazina ukweli wowote https://t.co/0NB9J36h9oView attachment 2015525
Magonjwa ya akili ni vigumu sana kusema mtu amepona, mara akishaugua. Lazima huwa yanaacha residue.
 
Kunya anakunya kuku, akinya bata wanasema kaharisha. Lingekuwa gazeti fulani, lingefungiwa miezi kadhaa. Lakini hili hawatii hata neno.
 
Zito anawapenda sana Kikwete na Makamba.

Yuko tayari kutetea kila aina ya ujinga na kujitoa fahamu..

Kwa nini wasikubali tu kwamba wameshindwa kuvaa viatu vya Magufuli?
Mbona Samia amekubali hadharani na hamna aliyemshangaa
 
Back
Top Bottom