Kila organ ya sirikali ya ccm ina chizi mmojaIla CCM kwa machizi inaonekana wako vzr.
Hata Diallo alisema Kuna mkubwa wa CCM alikua na file lake Milembe.
😄😄😄😄 kafara hilo au?Kila organ ya sirikali ya ccm ina chizi mmoja
Magonjwa ya akili ni vigumu sana kusema mtu amepona, mara akishaugua. Lazima huwa yanaacha residue.Kwa mujibu wa Katibu wa Mbunge wa Jimbo la Mbongwe, Mobahe George amesema kuwa, mbunge wa jimbo hilo Nicodemas Maganga ni mzima na yupo mapumziko kwa sasa ndio maana hapatikani hewani na kwamba taarifa zilizoandikwa na gazeti la Jamvi la Habari ni za kupuuzwa hazina ukweli wowote https://t.co/0NB9J36h9oView attachment 2015525
Bungeni amekalia kiti cha mbele.Kila organ ya sirikali ya ccm ina chizi mmoja