Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
sasa mjomba corona inahusikaje na kampeni ?Kampeni hizi zimeanza noma sana
sasa mjomba corona inahusikaje na kampeni ?
Ohooooo!!!Viongozi wanatakiwa wawe msitari wa mbele sio wakae msitari wa nyuma halafu wanatoa matamko ya kusali kwa siku tatu
Hao wote wamemwaga misaadaMbowe, Lema, Msigwa ,Sugu ,Mdee, Matiko kwa nini hamtoi misaada??
Sent using Jamii Forums mobile app
ni mbunge yupi wa ccm aliyewahi kutoa msaada jimboni kwake
View attachment 1421999
View attachment 1422000
View attachment 1422001
Hakika Kutoa ni moyo tu na wala si utajiri , wakati Wabunge wengi wa Chadema wakijitokeza wazi wazi kusaidia wananchi , wabunge wa chama kimoja wameanza kulogana na kubambikiana kesi wakigombea majimbo , akiwemo mmoja ambaye jimbo la DSM limemshinda na kukimbilia Mkoa wa Mara , ambako hata hivyo hana nafasi .
Umewashauri nini wanakyela mpaka sasa kuhusu kuepukana na korona?View attachment 1421999
View attachment 1422000
View attachment 1422001
Hakika Kutoa ni moyo tu na wala si utajiri , wakati Wabunge wengi wa Chadema wakijitokeza wazi wazi kusaidia wananchi , wabunge wa chama kimoja wameanza kulogana na kubambikiana kesi wakigombea majimbo , akiwemo mmoja ambaye jimbo la DSM limemshinda na kukimbilia Mkoa wa Mara , ambako hata hivyo hana nafasi .
Amejitahidi.View attachment 1421999
View attachment 1422000
View attachment 1422001
Hakika Kutoa ni moyo tu na wala si utajiri. Wakati Wabunge wengi wa CHADEMA wakijitokeza wazi wazi kusaidia wananchi, wabunge wa chama kimoja wameanza kulogana na kubambikiana kesi wakigombea majimbo akiwemo mmoja ambaye jimbo la DSM limemshinda na kukimbilia Mkoa wa Mara ambako hata hivyo hana nafasi.
tulimwambia Mbunge Mwakyembe aweke Ndoo za maji tiririka lakini akapuuza , sasa mimi kwa niaba ya Chadema namwanga ndoo za kisasa 200 KeshokutwaUmewashauri nini wanakyela mpaka sasa kuhusu kuepukana na korona?
ubunge wa urithi ndio ulivyo , kazi yake ni kupromoti mundende na vumbi la congoAmejitahidi.
Yule Godluck Mlinga anapiga siasa tu vitendo sifuri!
Vizuri mbunge mtarajiwatulimwambia Mbunge Mwakyembe aweke Ndoo za maji tiririka lakini akapuuza , sasa mimi kwa niaba ya Chadema namwanga ndoo za kisasa 200 Keshokutwa
Huna hata hela ya nauli weye. Eti ndoo 200 maweee!tulimwambia Mbunge Mwakyembe aweke Ndoo za maji tiririka lakini akapuuza , sasa mimi kwa niaba ya Chadema namwanga ndoo za kisasa 200 Keshokutwa
Kuna tajiri hana hela ?Huna hata hela ya nauli weye. Eti ndoo 200 maweee!
Wewe ni mmojawapo.Kuna tajiri hana hela ?