Mbunge wa Musoma vijijini Prof. Muhongo ameanza kuchafuliwa baada ya kugundua uwepo wa miradi hewa

JUMA JUMA

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2013
Posts
790
Reaction score
964
Mbunge wa Musoma Vijijini Prof Sospeter Muhongo ameanza kuchafuliwa baada ya kugundua kuwepo kwa miradi hewa na matumizi mabaya ya fedha za Halmashauri ya Wilaya ya Musoma (Musoma DC). Mbunge huyo anaungana na Madiwani wengi wanaotaka Tume ya Uchunguzi iundwe. Mkurugenzi aliyehama na Mwenyekiti wa Halmashauri hawataki Tume hiyo iundwe. Inadaiwa hiki ndicho chanzo cha kumchafua Mbunge huyo.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…