Ab-Titchaz
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 14,630
- 4,253
Mbunge wa Mvita Abdulswamad Sharifff Nassir avamiwa na Majambazi
Added on March 30th, 2014
Mbunge wa Mvita Abdulswamad Sharifff Nassir amevamiwa na majambazi usiku wa kuamkia leo akiwa katika afisi zake za kibinafsi huko Nyali.
Abdswamad aliyekuwa akitoka afisini mwake alisema kuwa alivamiwa na watu watatu waliokuwa wamejihami na kumpora simu zake na shillingi elfu arobaini pesa taslimu. Hata hivyo Abdulswamad hakutaka kulinasibisha tukio hilo na siasa na badala yake alisema tukio hilo ni la wizi kama tukio lolote lile. Zaidi ya hayo, alitaka usalama uimarishwe katika kaunti ya Mombasa.
Standard Digital News : : KTN - KTN Video | Mbunge wa Mvita Abdulswamad Sharifff Nassir avamiwa na Majambazi
Added on March 30th, 2014
Mbunge wa Mvita Abdulswamad Sharifff Nassir amevamiwa na majambazi usiku wa kuamkia leo akiwa katika afisi zake za kibinafsi huko Nyali.
Abdswamad aliyekuwa akitoka afisini mwake alisema kuwa alivamiwa na watu watatu waliokuwa wamejihami na kumpora simu zake na shillingi elfu arobaini pesa taslimu. Hata hivyo Abdulswamad hakutaka kulinasibisha tukio hilo na siasa na badala yake alisema tukio hilo ni la wizi kama tukio lolote lile. Zaidi ya hayo, alitaka usalama uimarishwe katika kaunti ya Mombasa.
Standard Digital News : : KTN - KTN Video | Mbunge wa Mvita Abdulswamad Sharifff Nassir avamiwa na Majambazi
Last edited by a moderator: