MBUNGE WA NYAMAGANA MWANZA UNAFANYA NINI??

MBUNGE WA NYAMAGANA MWANZA UNAFANYA NINI??

Unitman

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2021
Posts
511
Reaction score
671
Habari wadau.Napenda kumpa taarifa mbunge wa NYAMAGANA bwana mabula kuwa ukiondoa matatizo mengi yaliyopo wilaya ya hii ambayo ni kitovu cha uchumi wa mkoa kama ukosefu wa huduma ya maji na barabara mbovu kuna aibu ambayo naomba yeye binafsi aifuatilie.Hii aibuu ya watoto kwenda na magunia kwenye mabegi ya madaftari kwa ajili ya kwenda kukalia darasani inatia uchungu saana.Yaani unakuta darasa lina madawati 2 watoto 200.Watoto wanatandika magunia darasani ni kama wapo vitani!
Na kwa serikali umefika wakati sasa wakiri kuwa utoaji wa elimu bure umeshindikana hivyo warudishe ada ili tuache kutesa watoto.
Naomba kumtajia jina la shule hiyo na wadau wengine ambao mpo jijini MWANZA mnaweza kufika kujionea maajabu ya Karne ili tuone tunawasaidia vipi??
Shule ya msingi Nyangulugulu kata ya Mahina.
 
Na kwa serikali umefika wakati sasa wakiri kuwa utoaji wa elimu bure umeshindikana hivyo warudishe ada ili tuache kutesa watoto.
Kwa kuwa na mawazo ya namna hii uliyo andika kwenye mstari huo, ni wazi kwamba wewe huna tofauti kubwa na huyo mbunge wako unaye mlaumu.
Wewe huwezi kuona ufujaji wa pesa mwingi unao fanywa na serikali hadi uhimize wazazi waanze kulipia ada tena?

hao watoto nyinyi wazazi na huyo mbunge wenu ndio mnao wadidimiza, kwa sababu hamna fikra za kuondoa matatizo ya shule hizo.
Hapa unahimiza wazazi walipie ada ili zikaliwe na hao viongozi, siyo?
 
Habari wadau.Napenda kumpa taarifa mbunge wa NYAMAGANA bwana mabula kuwa ukiondoa matatizo mengi yaliyopo wilaya ya hii ambayo ni kitovu cha uchumi wa mkoa kama ukosefu wa huduma ya maji na barabara mbovu kuna aibu ambayo naomba yeye binafsi aifuatilie.Hii aibuu ya watoto kwenda na magunia kwenye mabegi ya madaftari kwa ajili ya kwenda kukalia darasani inatia uchungu saana.Yaani unakuta darasa lina madawati 2 watoto 200.Watoto wanatandika magunia darasani ni kama wapo vitani!
Na kwa serikali umefika wakati sasa wakiri kuwa utoaji wa elimu bure umeshindikana hivyo warudishe ada ili tuache kutesa watoto.
Naomba kumtajia jina la shule hiyo na wadau wengine ambao mpo jijini MWANZA mnaweza kufika kujionea maajabu ya Karne ili tuone tunawasaidia vipi??
Shule ya msingi Nyangulugulu kata ya Mahina.
Huko Nyangulugulu, Kanyerere, Mahina, Tambukareri ni maeneo ambayo Mbunge wa Nyamagana hataki kuyasikia na hahitaji kupeleka maendeleo yoyote maana anadai wakazi wa maeneo hayo hawampendi na kura huwa hawampigiii. Angalia leo maeneo hayo niliyoyataja yako Wilaya na Jimbo la Nyamagana ambapo tukitaja Mwanza Jiji ni pamoja na hayo maeneo lakini yametelekezwa. Angalia barabara ya kutoka Mkuyuni-Mahina-Kanyerere-Nyangulugulu hadi Mwatex yenye urefu wa kilomita kumi na moja (11) ni mbovu kupita kiasi kimsingi tunasema hakuna barabara bali kuna njia. Hii ni aibu kubwa kwa Serikali ya Mkoa wa Mwanza, Serikali ya Wilaya ya Nyamagana, na Mbunge wa Nyamagana.
 
Habari wadau.Napenda kumpa taarifa mbunge wa NYAMAGANA bwana mabula kuwa ukiondoa matatizo mengi yaliyopo wilaya ya hii ambayo ni kitovu cha uchumi wa mkoa kama ukosefu wa huduma ya maji na barabara mbovu kuna aibu ambayo naomba yeye binafsi aifuatilie.Hii aibuu ya watoto kwenda na magunia kwenye mabegi ya madaftari kwa ajili ya kwenda kukalia darasani inatia uchungu saana.Yaani unakuta darasa lina madawati 2 watoto 200.Watoto wanatandika magunia darasani ni kama wapo vitani!
Na kwa serikali umefika wakati sasa wakiri kuwa utoaji wa elimu bure umeshindikana hivyo warudishe ada ili tuache kutesa watoto.
Naomba kumtajia jina la shule hiyo na wadau wengine ambao mpo jijini MWANZA mnaweza kufika kujionea maajabu ya Karne ili tuone tunawasaidia vipi??
Shule ya msingi Nyangulugulu kata ya Mahina.
Elimu ya Uraia ni shida Tanzania hii, Mbunge kazi yake ni kutunga Sera au sheria ambazo zinakuja kutatua haya yote unayo lalamikia. Matatizo ya hii nchi yanazalishwa Bungeni collectively yani na wabunge wote kwa kuwa Chawa.

Ukiona matatizo mtaani kwako jua tatizo ni sera mbovu za nchi chini ya CCM na watawaliwa wao wajinga wajinga
 
Huko Nyangulugulu, Kanyerere, Mahina, Tambukareri ni maeneo ambayo Mbunge wa Nyamagana hataki kuyasikia na hahitaji kupeleka maendeleo yoyote maana anadai wakazi wa maeneo hayo hawampendi na kura huwa hawampigiii. Angalia leo maeneo hayo niliyoyataja yako Wilaya na Jimbo la Nyamagana ambapo tukitaja Mwanza Jiji ni pamoja na hayo maeneo lakini yametelekezwa. Angalia barabara ya kutoka Mkuyuni-Mahina-Kanyerere-Nyangulugulu hadi Mwatex yenye urefu wa kilomita kumi na moja (11) ni mbovu kupita kiasi kimsingi tunasema hakuna barabara bali kuna njia. Hii ni aibu kubwa kwa Serikali ya Mkoa wa Mwanza, Serikali ya Wilaya ya Nyamagana, na Mbunge wa Nyamagana.
Kama mbunge ana maoni na fikra kama hizo huyu hafai kuwa mbunge, kabisa kisa hapati, kura maeneo fulani hawezi kupeleka maendeleo na huku ni jimbo lake watu kama hawa hawafai kbs, kunamtu pia akawa anaishi sehemu, ambako unadai, wanakupaga kura ila kazi nafanyia, eneo" ambalo hujapeleka m
 
Alichaguliwa na Magufuli kwenye ule mkumbo wa oya oya wa akina Mwana FA lakini kimsingi kura za Nyamagana anapata kiduchu. Wana Nyamagana walimuhitaji Komredi John Pambalu (Mwenyekiti wa Bavicha Taifa)
Sawa kwa hiyo mipango yenu ikoje kuelekea uchaguzi ujao?
 
Back
Top Bottom