leo tena majira ya saa sita na robo usiku mbunge wa RUANGWA mkoani LINDI MHE. SIGFRIDI N'GITU ameaga dunia katika hospitali ya moi kutokana na ugonjwa wa shinikizo la damu, mungu amlaze marehemu mahali pema peponi amina.
bunge limeharisha kikao chake leo asubuhi kwa mujibu wa kanuni
r.i.psalaam nyingi kwa amina chifupa na chacha wangwe, waambie huku bunge linaendelea , na jumaatano kuna historia mpya itaandikwa nchi hii.
Pumzika kwa amani.
N'gitu huyu anauhusiano na yule mfanyabiashara wa mabasi,au ndio yeye mwenyewe?But any ways Mungu ailaze mahali pema peponi roho ya marehemu!!!leo tena majira ya saa sita na robo usiku mbunge wa RUANGWA mkoani LINDI MHE. SIGFRIDI N'GITU ameaga dunia katika hospitali ya moi kutokana na ugonjwa wa shinikizo la damu, mungu amlaze marehemu mahali pema peponi amina.
bunge limeharisha kikao chake leo asubuhi kwa mujibu wa kanuni
salaam nyingi kwa Amina Chifupa na Chacha Wangwe, waambie huku bunge linaendelea , na jumaatano kuna Historia mpya itaandikwa nchi hii.
PUMZIKA KWA AMANI.
Unajuaje kwamba watakutana? inawezekana mmoja alipita njia nyembamba na wengine njia pana, hapo hakuna kukutana maana destinations zinakuwa tofauti.salaam nyingi kwa Amina Chifupa na Chacha Wangwe, waambie huku bunge linaendelea , na jumaatano kuna Historia mpya itaandikwa nchi hii.
PUMZIKA KWA AMANI.