Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
alisubiri uchaguzi ?Rushwa huko kwenu, kwa Magari ya wagonjwa hapa kwetu ni msaada wa laazima kwa Jamii, hasa wakazi wa milimani kama Vudee, Mbaga, Mvaa, Kisiwani,Gonja na hata jImbo la Mwanga maeneo kama Jipe, Kifula, Kighale, Kileo, Kilomeni, Kirongwa, Kirya, Kwakao, Lang'ata, Lembeni, Msangeni, Mwaniko, Ngujini na Shingatini leteni hizo Ambulance tena haraka. kama na wengine wapo nani kawazuia walete tuu hata kugawa ng'ombe, mbuzi ada za wanafunzi wa secondari za A level.
Wakiwa bungeni wanakula wao, sasa ni muda muaafaka na sisi wapiga kura tupate chambi chambi. Go Matayo gooooooooo.
Ni kweli alikuwa hajapata kiinua mgongp,sasa ale peke yake?Yaani alishindwa kuwaletea Wana Same magari hayo kwa kipindi chote alichokuwa Mbunge, Leo ndo anawakumbuka? Hii kweli Rushwa. Nashaur magar hayo yagawiwe kwa wananchi Kisha Chama wamkate, ili iwe funzo kwa wote wenye tabia hizo.
Baba yao alianza muda mrefu sana kumwaga mamilioni kila anakokatiza kwa kisingizio eti anachangia shughuli za maendeleo, mwisho wa siku watu wanamuona hamnazoYaani ccm bila rushwa huwezi fika popote!! Na ni wote tu, hakuna asiyetoa rushwa!! Watu wa namna hiyo waje wawe na uchungu na mwanachi?!! Wewe subilia baada ya kura za maoni kupigwa, utawaona watakavyo ruka na kukanyagana!!! Kama wale walio hamia huko ndio nawahurumia kabisa!!! Labda rungu la mwenyekiti la kutoangalia aliyeongoza kwenye kura za maoni litumike!!!
Muda gani baada ya kutoka hapa watatukumbuka? Ndugu yangu mtu anakunyemelea siku zote siku akiingia kwenye 18 zako unamwacha? Huwa wanatukimbia hawa wakipata Ubunge. Nimeishi kwenu jimbo la kawe sikumuona hata siku moja Halima Mdee akifanya ziara. Waleteeeeeee.alisubiri uchaguzi ?
Tatizo lako wewe unawaamini sana Wanasiasa, Hawa watu wakikwamkia NJE KUNA JUA, unatakiwa utoke njee uhakikishe kweli jua lipo? usishangae kawasha karabai na mwanga umetoka na unakuambia ni jua. Hawaaminiki hawa kama suala la mvua Same.alisubiri uchaguzi ?
Wamuache atoe magari kina Mnyika hata baiskeri hawawezi kugawa kwa miaka 20