<br />
<br /
ofc za mikoa zilitokana na muundo wa serikal yetu yaan(cental govt_sera , sheria, planning etc na local govt_tendaji/utekelezaj)_mikoa inakuwa extended arm ya central govt for monitoring, evaluation and advising _in so doing wanaonekana kuwa wanoko kwa local govt na pia central govt(sector ministries) wenye madil na local govt wanachukia mikoa pia wanaona kama inawapunguzia posho za safar_so ni hao wachawi wa mikoa_lkn tukitaka kuharibikiwa wafute mikoa watajua