Huyu jamaa Wa ccm ni kamanda Wa ukweli kaingia ndani ya kambi ya Chadema na katoka salama. Sasa chakushangaza maneno mengi yanawatoka. Kaza butt Aeshi vijana Tupo Nyumba yako igunga.View attachment 37994View attachment 37994 muulizeni kafuata nini chadema? wakati juzi alitaka kuua watu wetu na kuchoma magari ya chama?
...then, we keep on shooting.Jamani mjumbe hauwawi! you keep shooting the messenger? they will never stop coming!
Totautisha kati ya kamanda na kada,! huyo aisha ni kada sio kamanda,...Huyu jamaa Wa ccm ni kamanda Wa ukweli kaingia ndani ya kambi ya Chadema na katoka salama. Sasa chakushangaza maneno mengi yanawatoka. Kaza butt Aeshi vijana Tupo Nyumba yako igunga.
Totautisha kati ya kamanda na kada,! huyo aisha ni kada sio kamanda,...
Ulitaka iweje ili abadilike kuwa mwanamke?Kamanda Si umeona kaingia kambini na kutoka salama? Huyo mwanaume.
mkuu, wanaulizia kwanza huyu Aisha sijui Aesha ni dini gani, ili wajue wamshike makalio au wampe za chembe.
Huyu jamaa Wa ccm ni kamanda Wa ukweli kaingia ndani ya kambi ya Chadema na katoka salama. Sasa chakushangaza maneno mengi yanawatoka. Kaza butt Aeshi vijana Tupo Nyumba yako igunga.
bashe na beno walienda kuzungumzia nini?
tafadhali viongozi wa chadema mlioko humu mtujuze!
magamba wanaweza kuwa wanatafuta kaupenyo fulani!
Hata mimi nilijuwa mwana mke na nikawa nashanga sanaa wanawake kurushia watu risasi! Labda alisoma na jina la dada yake
Kamanda Si umeona kaingia kambini na kutoka salama? Huyo mwanaume.