Mbunge wa Temeke akutana na makatibu UWT uwezeshaji wa elimu ya biashara

Mbunge wa Temeke akutana na makatibu UWT uwezeshaji wa elimu ya biashara

PendoLyimo

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2014
Posts
969
Reaction score
1,055
Leo Tarehe 13/01/2021, Mhe. Dorothy George Kilave, Mbunge wa Jimbo la Temeke, amekutana na Makatibu wa Umoja wa Wanawake wa Tanzania (UWT) kutoka katika Kata zote za jimbo la Temeke.

Kikao hiki ni kikao cha Maandalizi ya Program Maalumu ya Uwezeshaji wa Elimu ya Biashara na mikopo Kwa kina mama wajasiriamali wa Jimbo la Temeke.

Kikao hiki kimefanyika Leo Majira ya Saa 8 Mchana Katika Ofisi ya Mbunge wa Jimbo la Temeke.

"Ndugu Wananchi, Maendeleo ni Jitihada za Pamoja Twende wote tuijenge Temeke yetu" Mhe Dorothy Kilave, Mb-Temeke.
 
Hizi definitely ni siasa SIO service delivery kutoka kwa mh.mbunge,huyu ni mbunge wa wananchi wote regardless itikadi zao na mada hii ni chonganishi,mh.mbunge angekutana na jumuiya za akina mama jimboni mwake sio wanajumuiya ya chama dola
 
Back
Top Bottom