jitombashisho
JF-Expert Member
- Jun 11, 2020
- 667
- 2,245
Ni yeye Silaa
Amesema hayo leo Jijini Dar es Salaam
Silaa ambaye ni Mbunge wa kuchaguliwa akiwakilisha jimbo la uchaguzi la Ukonga amesema nia yake hiyo ni kutaka kuonyesha umoja na madereva wote wa bodaboda nchini Tanzania.
Ikumbukwe, Mamlaka za Serikali ndani ya mkoa wa Dar es Salaam hivi karibuni zimetoa tangazo la kuzuia vijana waendesha bodaboda na bajaji kuingia katikati ya Jiji la Dar es Salaam.
Amesema hayo leo Jijini Dar es Salaam
Silaa ambaye ni Mbunge wa kuchaguliwa akiwakilisha jimbo la uchaguzi la Ukonga amesema nia yake hiyo ni kutaka kuonyesha umoja na madereva wote wa bodaboda nchini Tanzania.
Ikumbukwe, Mamlaka za Serikali ndani ya mkoa wa Dar es Salaam hivi karibuni zimetoa tangazo la kuzuia vijana waendesha bodaboda na bajaji kuingia katikati ya Jiji la Dar es Salaam.