Mbunge wa Ukrania amkosoa Rais Biden

Mbunge wa Ukrania amkosoa Rais Biden

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Mbunge wa Ukraine ambaye ni naibu waziri wa elimu bi Inna Sovsum ameiponda ziara ya rais Biden wa Marekani aliyoifanya nchini Poland. Amesema hotuba zake za kuwataka wananchi ya Ukraine wasiogope haina maana yoyote kwani kila siku vijana wanapotea.

Hotuba yake ni kama ya kuilinda nchi ya Poland huku mabomu yanadondoka na kutumbuka kwenye miji ya Kyiv,Kharkiv na miji mingine ya nchi yao.

Akaendeleza shutuma zake kwa kusema hotuba zake zaidi za kuwapa moyo waPoland lakini hazina athari kwa watu wa Ukraine. Majeshi ya NATO yapo Ulaya si kwa ajili ya Kupambana na Urusi bali kuzilinda nchi za Nato.

1648361697710.png
 
Ni kwasababu habari inaikosoa Marekani si propaganda.

Ila ukiigeuza iwe kinyume ielekezwe upande wa pili inakuwa propaganda za magharibi.
 
Mbunge wa Ukraine ambaye ni naibu waziri wa elimu bi Inna Sovsum ameiponda ziara ya rais Biden wa Marekani aliyoifanya nchini Poland. Amesema hotuba zake za kuwataka wananchi ya Ukraine wasiogope haina maana yoyote kwani kila siku vijana wanapotea.

Hotuba yake ni kama ya kuilinda nchi ya Poland huku mabomu yanadondoka na kutumbuka kwenye miji ya Kyiv,Kharkiv na miji mingine ya nchi yao.

Akaendeleza shutuma zake kwa kusema hotuba zake zaidi za kuwapa moyo waPoland lakini hazina athari kwa watu wa Ukraine. Majeshi ya NATO yapo Ulaya si kwa ajili ya Kupambana na Urusi bali kuzilinda nchi za Nato.

View attachment 2165671
Uyu mchumba tu rangi za mdomo kama kweche hajuwi lolote, Zile Javelin na Stinger zilizomsambaratisha Putin Kyiv anajua zimetoka nchi gani??
 
Mbunge wa Ukraine ambaye ni naibu waziri wa elimu bi Inna Sovsum ameiponda ziara ya rais Biden wa Marekani aliyoifanya nchini Poland. Amesema hotuba zake za kuwataka wananchi ya Ukraine wasiogope haina maana yoyote kwani kila siku vijana wanapotea.

Hotuba yake ni kama ya kuilinda nchi ya Poland huku mabomu yanadondoka na kutumbuka kwenye miji ya Kyiv,Kharkiv na miji mingine ya nchi yao.

Akaendeleza shutuma zake kwa kusema hotuba zake zaidi za kuwapa moyo waPoland lakini hazina athari kwa watu wa Ukraine. Majeshi ya NATO yapo Ulaya si kwa ajili ya Kupambana na Urusi bali kuzilinda nchi za Nato.

View attachment 2165671

Si tunaambiwa russia inashambuliwa kwa kasi ya 10G kulikoni tena[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji635][emoji3577]
 
Uyu mchumba tu rangi za mdomo kama kweche hajuwi lolote, Zile Javelin na Stinger zilizomsambaratisha Putin Kyiv anajua zimetoka nchi gani??

[emoji16][emoji16][emoji16] wa ukrein wa namtumbo
 
Kwani warusi mnasemaje? Hii ni propaganda ama?!!
 
Demu ana akili sana huyu, anafaa kuolewa na mm
 
Vidomo kama hivyo huwa vinakuwa vinachonga kama Charahani
 
Back
Top Bottom