Mbunge wa upinzani anavyopigwa na mwanajeshi mafichoni, utawala wa mabavu huu sasa

Museven pamoja na kupindua katiba kuwa raisi wa milele bado anaishi kwa wasiwasi dhuluma mbaya sna hujiamini kama magufuli tu

Atafanya yote hayo ya ubabe na kila kitu lakini lazima ajue kila Mwanadamu amewekewa kufa hata angelikuwa nani..M-7 na Washirika wenzake kina Magu, Kurunzinza, Kagame n.k lazima kuna siku WATAKUFA hata kama watataka kuzitawala nchi zao milele, surely they will die one day.
 
Mkuu una uhusiano wowote na hiyo Avatar yako?
Hata Jambio lako lilikuwa Gumu hivyohivyo Sema sasa hivi Lainiiiii Bila hata Vilainishi.

Kazi kubwa imefanyika kulilainisha. Marungu mengi yametumika
 
Ni wakati wa kujifunza kuheshimu mamlaka
 
Kwa kw

kwa kweli kushindana na hizi dola za kiafrika inataka moyo sana. Huyu wine aliyajua yote haya lakini sijui kwa nini hakuchukua tahadhari au kwa kuwa mbunge aliona yuko salama labda.......
Huyu Bobi Togwa ni mhuni kama walivyo baadhi ya Wabunge hapa Tanzania. Tafuta Clip siku ambayo anaapiswa Bungeni uone alivyofanya fujo. Hata hivyo Museveni alimvumilia sana. Alipofikia ilikuwa ni zaidi ya kumshika Museveni makalio. Amevuna alichopanda. Mamlaka zinaheshimiwa Ulimwengu mzima.
 
Hata Jambio lako lilikuwa Gumu hivyohivyo Sema sasa hivi Lainiiiii Bila hata Vilainishi.

Kazi kubwa imefanyika kulilainisha. Marungu mengi yametumika

Simemi uongo angalia kwenye hii X-ray picha.hili ndio fuvu la mpinzani wa kawaida katika bara hili tukufu.angalia sazi ya Ubongo.
 
Anasema mambo saafi.

Donald Trump alipoingia madarakani aliweka wazi kuwa Viongozi ving'ang'anizi Afrika lazima waondoke madarakani na akawataja kwa majina kina Robert Mugabe, Yoweri Museven, CCM ya Magufuli n.k. kuwa lazima watimliwe!!!!. Tayari Mzee Mugabe alishabwaga manyanga....one at a time they'll go!
 
Magufuli alisifiwa kwa kazi, akasema congratulations to my namesake John Megafoul (Magufuli)
 
Acheni upuuzi. Hii picha ni ya Comorro sio Uganda.
 
Mugabe alichajizeekea,alikuwa amepanga ampe kiti mkewe,makomredi wenzetu wa ZANU-pf wakaona wampumzishe.

Mugabe@93 alikuwa bado anataka aendelee kuwa Rais wa Zimbabwe kwa kisingizio cha kupigania Uhuru wa Zimbabwe. Jeshi likaone isiwe taabu akalazimishwa kupumzika kwa mapinduzi ya kimya kimya au kistaarabu. Bila Jeshi kufanya hivo huyu kibabu angelikuwa bado yuko Ikulu ya Zimbabwe..!!!
 
Fuatilia siasa wewe..mkutano mkuu wa Zanu-pf ndio ulioamua kuwa apumzishwe.
 
Wewe ni muongo sana sijui lengo lako ni nini.

imhotep,
Muongo ni wewe unayepingana na ukweli. Kama hukuwahi kusikia tamsi hilo la Donald Trump fanya kazi ya research so that you can have the right to speak..
 
imhotep,
Muongo ni wewe unayepingana na ukweli. Kama hukuwahi kusikia tamsi hilo la Donald Trump fanya kazi ya research so that you can have the right to speak..
Fake news ndio unazileta jamvini.ulivyokuwa mpuuzi.
 
Fuatilia siasa wewe..mkutano mkuu wa Zanu ndio ulioamua kuwa apumzishwe.

imhotep,
Hivi wewe unaishi dunia gani au Tanzania ipi hasa ? Seems you know nothing about what's happening around you and the world over.
Robert Mugabe says ‘coup d’état’ ended his rule in Zimbabwe
Deposed president uses first TV interview since army takeover to challenge Mnangagwa
 
Robert Mugabe says ‘coup d’état’ ended his rule in Zimbabwe
Hakukuwa na coup detat ilikuwa Army takeover ya kawaida,na bado akakataa kuachia kiti ndio chama kikaa kikao na kumpumzisha.

Mzee Mugabe ameshazeeka anaongea kwa hasira tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…