ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,050
- 6,199
Tuletee hiyo clipHuyu Bobi Togwa ni mhuni kama walivyo baadhi ya Wabunge hapa Tanzania. Tafuta Clip siku ambayo anaapiswa Bungeni uone alivyofanya fujo. Hata hivyo Museveni alimvumilia sana. Alipofikia ilikuwa ni zaidi ya kumshika Museveni makalio. Amevuna alichopanda. Mamlaka zinaheshimiwa Ulimwengu mzima.
African politik... The madness of selfish politiciansBobi wine
Today we spent the whole day in Gulu. Bobi Wine was produced before the military court and charged with three counts of illegal possession of firearms. No one else was permitted to see him including his family and the press, except lawyers Hon. Asuman Basalirwa and Hon. Medard Ssegona. He has been remanded to Makindye military prison until 23rd August, 2018.
According to the two lawyers, Bobi is in a very worrying state. He was badly tortured. He cannot stand, sit or even walk on his own. His face is badly deformed and he has a fractured back and hip. He has wounds all over his body, including one on his head and ear. The lawyers also say that he has not yet fully regained consciousness and does not fully appreciate what is going on around him. He could barely talk coherently to them.
Friends of Bobi home and abroad, this is the state of affairs!
Thank you all for the love, concern and support.
View attachment 838915
Nenda kaitafute.Tuletee hiyo clip
Hakukuwa na coup detat ilikuwa Army takeover ya kawaida,na bado akakataa kuachia kiti ndio chama kikaa kikao na kumpumzisha.
Mzee Mugabe ameshazeeka anaongea kwa hasira tu.
Ni wakati wa kujifunza kuheshimu mamlaka
Soma post #42 Mzee mugabe alikuwa anaongea kwa hasira tu ila yuko salama anakula pensheni yake,na chama chake cha Zanu-pf bado kinatawala kwa kupendwa kwa kupewa ridhaa tena.Sasa tukuamini wewe au Mzee Mugabe?
Kumbuka Mzee Mugabe ni askari mstahafu aliyepigana vitu vya msituni kuwaondoa Waingereza waliokuwa wanaitawala ZImbambwe hivo akisema hayo yalikuwa ni mapinduzi ya kijeshi lazima tumwamini!!!!.
Fuvu la mpinzani wa hapa kwetu Afrika ni gumu sana bila ya kulilainisha kwa virungu..msema kweli ni mpenzi wa Mungu.
Mkuu usiongee usilofahamu..... Kesi yake ni kukutwa na silaha kinyume cha sheria ambazo amebambikiziwa ili wapate sababu ya kumkamata...... Wapinzani wakiwa wapole kama kina mbowe mnawaita wanalialia wakichukua hatua kma kina Bobi wine mnawaita wahuniHuyu Bobi Togwa ni mhuni kama walivyo baadhi ya Wabunge hapa Tanzania. Tafuta Clip siku ambayo anaapiswa Bungeni uone alivyofanya fujo. Hata hivyo Museveni alimvumilia sana. Alipofikia ilikuwa ni zaidi ya kumshika Museveni makalio. Amevuna alichopanda. Mamlaka zinaheshimiwa Ulimwengu mzima.
Kura zipi yaani 50% ndio kupendwa na nchi?? Je hiyo 50% nyingine vipi mbona haikumchagua huyo anayejiita mamba???Soma post #42 Mzee mugabe alikuwa anaongea kwa hasira tu ila yuko salama anakula pensheni yake,na chama chake cha Zanu-pf bado kinatawala kwa kupendwa kwa kupewa ridhaa tena.
Mwanao lazima atakuwa mpinzani. Uamini usiaminiFuvu la mpinzani wa hapa kwetu Afrika ni gumu sana bila ya kulilainisha kwa virungu..msema kweli ni mpenzi wa Mungu.
Umeuangalia Ubongo size yake?!imhotep,
Are you serious...??!! Kwamba fuvu la mpinzani ni gumu lina hitaji virungu? You must be joking. Siku na wewe ukihamia upinzani tukutwange virungu maana fuvu litakuwa limekuwa gumu???Acha hizo.
Hata ikiwa ya kihuni?? Sasa kosa la Bobi ni lipi?? Kisa aliwanyoosha kwenye uchaguzi wa juzi ndio hasira zote mumbambikie silaha..... Hyo hoteli inadai silaha zimepandikizwa wakati wanamsaka bobi ili wapate sababu sasa nyie washabiki wa mitandaoni mna conclude aheshimu mamlaka bila kujali hiyo mamlaka inatenda haki au lah...... Endeleeni tu kumpa kichwa huyo dikteta afu siku akipinduliwa kama mugabe tuone mnatoka mapovu humu kulaumu wazunguNi wakati wa kujifunza kuheshimu mamlaka
Sio upinzani huu,, huo ujao baada ya kifo cha xhadema.Mwanao lazima atakuwa mpinzani. Uamini usiamini
Kuhusu msafara wa m7Hata ikiwa ya kihuni?? Sasa kosa la Bobi ni lipi?? Kisa aliwanyoosha kwenye uchaguzi wa juzi ndio hasira zote mumbambikie silaha..... Hyo hoteli inadai silaha zimepandikizwa wakati wanamsaka bobi ili wapate sababu sasa nyie washabiki wa mitandaoni mna conclude aheshimu mamlaka bila kujali hiyo mamlaka inatenda haki au lah...... Endeleeni tu kumpa kichwa huyo dikteta afu siku akipinduliwa kama mugabe tuone mnatoka mapovu humu kulaumu wazungu
Mimi ninayekuambia nimeanzia Tanu youth league ,halaiki ya sherehe za CCM nimezicheza sana .Sio upinzani huu,, huo ujao baada ya kifo cha xhadema.
Boby Wine kafuatwa hotelini wala kwenye vurugu hakuepo. Fuatilia habari hiyo vizuri bila ushabikiKuhusu msafara wa m7