Mbunge wa Viti Maalum CUF akabidhi Computer na Printer kwa ajili ya Uchaguzi Handeni Mjini

Status
Not open for further replies.

CUF Habari

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2019
Posts
239
Reaction score
234
MHE. SONIA MAGOGO AKABIDHI VIFAA COMPUTER NA PRINTER KWA AJILI YA KUSAIDIA SHUGHULI NA UCHAGUZI WILAYANI HANDENI MJINI

#HandeniMjiniNiSoniaMagogoSasa.

#SoniaMagogoTenaMjengoni
 

Attachments

  • IMG_20200711_193845_357.jpg
    90.9 KB · Views: 1
Mbona TAKUKURU hawaja mkamata kama inavyo fanya kwa wale wa Ccm??
 

MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA HANDENI MJINI SONIA MAGOGO AMETOA VIFAA COMPUTER NA PRINTER KATIKA JIMBO LA HANDENI VIJIJINI LEO JULAI 12,2020

#SoniaMagogoJembeLetuHandeni
 
Hiyo pesa ya hivyo vifaa bola angenunua akiba ya mahindi,CUF bado ipo?
 

Attachments

  • 2368793_2024173_IMG_20190329_072747_1.jpeg
    16.4 KB · Views: 1
Hiyo hela ingemsaidia baada ya October 2020 maana CUF inaenda kuungana na TLP, UDP, NCCR na wengine.
 
Hiyo hela ingemsaidia baada ya October 2020 maana CUF inaenda kuungana na TLP, UDP, NCCR na wengine.

Mimi nilitarajia pccb watamfanyia figusu Kama Yule aliyetaka kugawa baiskeli...
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…